Ubora wa Xiaomi Redimi 8A

Ubora wa Xiaomi Redimi 8A

Mkuu natumia hio 8A imekuwa na tatizo la kutosoma simcard Kwa week sasa, imeniandikia no service sijui shida nini mana mafundi wameshindwa
Sim card zote? Umeenda kwa Fundi wa Hardware ama Software?
 
Sasa One Plus 7 Pro ni sh. ngapi wakati mwanzo ulishauri used One Plus 6 kulingana na bei.
Wakati unaupgrade hadi Android 11 wenzako wanaweza kuhama Android 11 hadi 13. Na mwaka huu 14 inatoka
Nadhani kama haujali sana usalama wa simu then utanunua used lakini ninashauri pia kwenda na wakati. Binafsi sifurahii kununua simu ambayo sijatoa seal mwenyewe yaani kuna mtu mwingine kaitumia, duh
I said 6 to 7pro kulingana na kipato na mahitaji ... Na binafsi i love android 11 more than 13 kwakua android 11 iko more stable than android 13.
Xiaomi is a great company but kwa simu zake za mid range huwezi zifananisha na Oneplus primes.
 
I said 6 to 7pro kulingana na kipato na mahitaji ... Na binafsi i love android 11 more than 13 kwakua android 11 iko more stable than android 13.
Xiaomi is a great company but kwa simu zake za mid range huwezi zifananisha na Oneplus primes.
Ila naona AnTuTu score za Redmi Note 10 5G ni kubwa kuliko One Plus 6.
Kumbuka unaongelea simu used kwa hiyo condition ya simu ambayo mwenzako ataipata haitakuwa kama ya simu yako, Again it's RISKY
Kama ni simu used tu hata Samsung Galaxy S9 Plus inapatikana kwa bei hiyo, lakini siziamini kwa sababu siwezi jua condition yake
Pamoja na kwamba midrange za sasa zinatunza chaji sana lakini zinaleta kamera yenye uwezo mzuri, display nzuri na pia device health ya 100%
Plus, zina muonekano mzuri unaoendana na miaka ya sasa. Experience nzima ya simu kuanzia nje hadi ndani hakuna sehemu itafeel kuwa na uzamani
Mfano angalia hii Redmi Note 10 5G
Screenshot_20230213-202557~2.jpg

Angalia na specifications zake halafu imagine ni around 325000/= tu AliExpress licha ya kuwa na MediaTek Dimensity 700 halafu ni 5G na ni mpya full box na bado screen yake ina refresh rate ya 90Hz na Ina appearance nzuri hivyo tena ni simu current
 
Back
Top Bottom