Ubora wa Xiaomi Redimi 8A

Ubora wa Xiaomi Redimi 8A

Redmi 9T inauzwa kwa bei hiyo AliExpress na inatumia chipset ya Qualcomm Snapdragon 662 sio Mediatek. Ukitaka kuipata AliExpress andika Redmi 9T halafu sort by : Order, utaiona Redmi 9T kwa 267000/=
Ila kama una mpango wa kununua Redmi Note 11 sio mbaya, endelea tu kama ulivyopanga
Hizo simu zikifika tz hakuna Kodi zaidi ?
 
Chief mpaka sasa unasema hakuna Simu bora zaidi ya Redmi 10C kwa bajeti chini ya 350,000/=
Ndio 10c redmi ni midrange flagship nadhani itakufaa ndo nayotumia hapa iko vizuri kuanzia charge mpaka camera

Soc yake ni Snapdragon 680 Kwa bei ya TSH 350000 kupata simu hii ni ngumu Sana hivyo inaifanya kuwa pekee yenye bei ya chini
 
Ndio 10c redmi ni midrange flagship nadhani itakufaa ndo nayotumia hapa iko vizuri kuanzia charge mpaka camera

Soc yake ni Snapdragon 680 Kwa bei ya TSH 350000 kupata simu hii ni ngumu Sana hivyo inaifanya kuwa pekee yenye bei ya chini
Redmi 10C ni upper entry level smartphone inayotumia SoC ya midrange smartphones
Bila shaka ndio simu bora zaidi kwa bei yake hapa Bongo
Snapdragon 680 inatumika kwenye simu za laki tano hadi sita kama Redmi Note 11 na Samsung Galaxy A23
 
KAMA MTU UNATAKA SIMU MID RANGE BORA UNUNUE ONEPLUS 6. BEI YAKE NI KAMA 400K ~ 350K HIVI (USED). URUDI HAPA KUJA KUNISHUKURU
 
KAMA MTU UNATAKA SIMU MID RANGE BORA UNUNUE ONEPLUS 6. BEI YAKE NI KAMA 400K ~ 350K HIVI (USED). URUDI HAPA KUJA KUNISHUKURU
Huyo jamaa naona anaziuza ig (ilala_mobile)
Screenshot_20230212-154719.jpg
 
KAMA MTU UNATAKA SIMU MID RANGE BORA UNUNUE ONEPLUS 6. BEI YAKE NI KAMA 400K ~ 350K HIVI (USED). URUDI HAPA KUJA KUNISHUKURU
One Plus 6 haikai na chaji halafu bado ni Android 8.1, kumbuka hii ni 2023. Kama ni laki nne kwa Bongo bora ujinunulie "Xiaomi Redmi 10" plain upate simu iliyobalance specifications kwa standard ya 2023. Display yake ni IPS LCD ingawa gsmarena amethibitisha kuwa bado ina mwanga wa kutosha na unaweza kuitumia juani. Pia ina kamera ambayo haina mpinzani kwa bei yake. AnTuTu score yake ni kama ya One Plus 6 na bado inakaa na chaji, unapata mpya full and sealed box
Wazee wa AliExpress kwa chini ya laki tatu na nusu unajipatia "Xiaomi Redmi Note 10 5G" ya 4GB RAM 128GB ROM na "Xiaomi Poco M5" ya 4GB/64GB na Xiaomi Redmi Note 11 ya 4GB/64GB kwa around 367,000/=. Hizi simu zinauzwa bei hii kwenye store kubwa zenye positive reviews nyingi, rating ya above 4.5 na order nyingi sana mfano store ya Goldway huko AliExpress
Kwa laki nne unajipatia Realme 8 safi kabisa huko AliExpress. Binafsi sishauri kununua simu used
Kama shida ni simu used kuna Sony Xperia XZ3 kwa around 300K ambayo Ina Android 9 au hata LG G8, otherwise nunua simu mpya ambayo ni bora yenye standard nzuri ya Sasa na inayotunza chaji.
 
One Plus 6 haikai na chaji halafu bado ni Android 8.1, kumbuka hii ni 2023. Kama ni laki nne kwa Bongo bora ujinunulie "Xiaomi Redmi 10" plain upate simu iliyobalance specifications kwa standard ya 2023. Display yake ni IPS LCD ingawa gsmarena amethibitisha kuwa bado ina mwanga wa kutosha na unaweza kuitumia juani. Pia ina kamera ambayo haina mpinzani kwa bei yake. AnTuTu score yake ni kama ya One Plus 6 na bado inakaa na chaji, unapata mpya full and sealed box
Wazee wa AliExpress kwa chini ya laki tatu na nusu unajipatia "Xiaomi Redmi Note 10 5G" ya 4GB RAM 128GB ROM na "Xiaomi Poco M5" ya 4GB/64GB na Xiaomi Redmi Note 11 ya 4GB/64GB kwa around 367,000/=. Hizi simu zinauzwa bei hii kwenye store kubwa zenye positive reviews nyingi, rating ya above 4.5 na order nyingi sana mfano store ya Goldway huko AliExpress
Kwa laki nne unajipatia Realme 8 safi kabisa huko AliExpress. Binafsi sishauri kununua simu used
Kama shida ni simu used kuna Sony Xperia XZ3 kwa around 300K ambayo Ina Android 9 au hata LG G8, otherwise nunua simu mpya ambayo ni bora yenye standard nzuri ya Sasa na inayotunza chaji.
Mkuu Redmi 10 na Redmi note 10 5g ipi ni best? Hasa zaidi kwenye camera?
 
One Plus 6 haikai na chaji halafu bado ni Android 8.1, kumbuka hii ni 2023. Kama ni laki nne kwa Bongo bora ujinunulie "Xiaomi Redmi 10" plain upate simu iliyobalance specifications kwa standard ya 2023. Display yake ni IPS LCD ingawa gsmarena amethibitisha kuwa bado ina mwanga wa kutosha na unaweza kuitumia juani. Pia ina kamera ambayo haina mpinzani kwa bei yake. AnTuTu score yake ni kama ya One Plus 6 na bado inakaa na chaji, unapata mpya full and sealed box
Wazee wa AliExpress kwa chini ya laki tatu na nusu unajipatia "Xiaomi Redmi Note 10 5G" ya 4GB RAM 128GB ROM na "Xiaomi Poco M5" ya 4GB/64GB na Xiaomi Redmi Note 11 ya 4GB/64GB kwa around 367,000/=. Hizi simu zinauzwa bei hii kwenye store kubwa zenye positive reviews nyingi, rating ya above 4.5 na order nyingi sana mfano store ya Goldway huko AliExpress
Kwa laki nne unajipatia Realme 8 safi kabisa huko AliExpress. Binafsi sishauri kununua simu used
Kama shida ni simu used kuna Sony Xperia XZ3 kwa around 300K ambayo Ina Android 9 au hata LG G8, otherwise nunua simu mpya ambayo ni bora yenye standard nzuri ya Sasa na inayotunza chaji.
It's upgradable to android 11 bro and huwezi ukafananisha prime Oneplus devices na kina xiaomi bwana bro. Mimi nina oneplus 6 nilinunua kwa bro angu ambaye na yeye alinunua kwa jamaa yake but bado iko moto mno. & Kuhusu chaji it doesn't have the best battery but ina survive more than 10 hours kwa matumizi yangu na nikiichomeka nikaingia msalani natoka imejaa 20% it's not that big of a deal to me.
Mtu yoyote anaetafuta simu akanunue Oneplus 6 - 7pro aje anishukuru baadae .
Screenshot_20230212-222405.jpg
 
It's upgradable to android 11 bro and huwezi ukafananisha prime Oneplus devices na kina xiaomi bwana bro. Mimi nina oneplus 6 nilinunua kwa bro angu ambaye na yeye alinunua kwa jamaa yake but bado iko moto mno. & Kuhusu chaji it doesn't have the best battery but ina survive more than 10 hours kwa matumizi yangu na nikiichomeka nikaingia msalani natoka imejaa 20% it's not that big of a deal to me.
Mtu yoyote anaetafuta simu akanunue Oneplus 6 - 7pro aje anishukuru baadae . View attachment 2515380
Sasa One Plus 7 Pro ni sh. ngapi wakati mwanzo ulishauri used One Plus 6 kulingana na bei.
Wakati unaupgrade hadi Android 11 wenzako wanaweza kuhama Android 11 hadi 13. Na mwaka huu 14 inatoka
Nadhani kama haujali sana usalama wa simu then utanunua used lakini ninashauri pia kwenda na wakati. Binafsi sifurahii kununua simu ambayo sijatoa seal mwenyewe yaani kuna mtu mwingine kaitumia, duh
 
Mkuu Redmi 10 na Redmi note 10 5g ipi ni best? Hasa zaidi kwenye camera?
Hapo umeuliza maswali mawili
Ipi ni best? Jibu ni Xiaomi Redmi Note 10 5G, hii ni better kuliko Redmi 10
Ukija kwenye kamera, siwezi kutoa jibu direct ipi ni nzuri kwa sababu zote zinatoa picha zinazokaribiana sana kiubora ingawa picha za Redmi Note 10 5G inaonekana rangi zimekolea kuliko kawaida ila tofauti ni ndogo
Redmi 10 ina ultra wide camera, Note 10 5G Haina, at least kwa point hii naweza kusema Redmi 10 ina advantage kwenye kamera kuliko Note 10 5G
Simu zote zipo vizuri kwa picha za usiku kuliko wapinzani
 
Back
Top Bottom