Nunua tu zinazouzwa hapa sidhani kama utapata unachotaka na ukipata basi kutakuwa na bora zaidi kwa bei hiyo kkooYuani 500 bila shipping
Mpaka inafika mkononi ni 250k
Hii bei hapana aisee, bora utafute redmi 9 kama utaipata, otherwise ongeza kidogo chukua 10C.Yuani 500 bila shipping
Mpaka inafika mkononi ni 250k
Hii bei hapana aisee, bora utafute redmi 9 kama utaipata, otherwise ongeza kidogo chukua 10C.
Kama budget haipandi kabisa tafuta Samsung A03.
Kwa Hapa kwetu hakuna mkuu unless unanunua Used refurbished flagship za zamani kama S9, Oneplus 7, lg g8x etc.Chief mpaka sasa unasema hakuna Simu bora zaidi ya Redmi 10C kwa bajeti chini ya 350,000/=
Kaka nimepoteza simu mara mbili zote ndani ya miezi sita, redimi 9&oppo ax5Hii bei hapana aisee, bora utafute redmi 9 kama utaipata, otherwise ongeza kidogo chukua 10C.
Kama budget haipandi kabisa tafuta Samsung A03.
Sababu mkuu hio simu si mpya, why ununua simu used halafu iwe lowend?Kaka nimepoteza simu mara mbili zote ndani ya miezi sita, redimi 9&oppo ax5
Nilitaka niagize Kwa mda tu ndipo ntaaagiza redimi 11
mimi ndio natumia hapa kuandika hii comment, ni simu nzuri kwa budget yake, performance iko poa sana, changamoto ni moja hii simu inakuja shipped with 32bit operating system, so bear that in mind, ila yangu nili unlock bootloader nikaweka 64bit OS, camera iko poa, ukiweka GCAM hii inakubali hata kama ikiwa 32bit or 64bit depending on which version, overall ina worth hiyo pesa, sijui kama utapata ya hivi, kwa hyo budget.Msaada wakuu Kuna mtu yeyote amewahi Tumia Xiaomi Redmi 8a? Vp kuhusu uborawake?
Natakuagiza china kupitia WeChat
View attachment 2501931
Apo nimekusoma mkuu ntawapa mrejesho after two weeksmimi ndio natumia hapa kuandika hii comment, ni simu nzuri kwa budget yake, performance iko poa sana, changamoto ni moja hii simu inakuja shipped with 32bit operating system, so bear that in mind, ila yangu nili unlock bootloader nikaweka 64bit OS, camera iko poa, ukiweka GCAM hii inakubali hata kama ikiwa 32bit or 64bit depending on which version, overall ina worth hiyo pesa, sijui kama utapata ya hivi, kwa hyo budget.
ila jitahidi iwe 4GB kwa 64GB.

Achana na hiyo simu nunua Sony Xperia XZ2 uenjoy kioo kizuri, kamera Kali, speaker nzuri, design nzuri, simu slim, etc. Using'ang'anie Redmi 8A. Nazipenda sana Xiaomi kuliko simu zote duniani lakini kwa simu hii hapana bwana

Hahahaha nashukuru mkuu unajua shida iko wapi? Mm simu Cha kwanza iwe inakaa chaji tatzo hizo Sony Xperia ni mbovu sana kwenye chajiKwa laki mbili na nusu nunua bongo hapahapa Used "Sony Xperia XZ2" kuliko kununua abroad halafu used Redmi 8AAchana na hiyo simu nunua Sony Xperia XZ2 uenjoy kioo kizuri, kamera Kali, speaker nzuri, design nzuri, simu slim, etc. Using'ang'anie Redmi 8A. Nazipenda sana Xiaomi kuliko simu zote duniani lakini kwa simu hii hapana bwana
Mkuu usiwe mkaidi, hapo unapigwa
Duh....mkuu sasa si bora ungeitupia hiyo pesa AliExpress udake tambo la Redmi 9T ipo around 267,000/= maana yakupasa uwe na roho ngumu sana kununua Redmi 8A 2023 hii. Ingawa 250000/= kwa Bongo hii ni bei ya Redmi 9A.Hahahaha nashukuru mkuu unajua shida iko wapi? Mm simu Cha kwanza iwe inakaa chaji tatzo hizo Sony Xperia ni mbovu sana kwenye chaji
Nashukuru ushauri wako ntaufanyia kazi mwana Xiaomi mwenzako
Japo tayari nimeshafanya oder
Unajua Nini mkuu? Tatizo la redimi 9t na 9a processer zake zote ni mtk alfu hiyo 9t huwezi pata AliExpress Kwa bei hiyo pili hiyo simu nimechukua tu Kwa mda boss wangu, mda c mrf ntachkua aliexpless Xiaomi Redmi not 11 around 450000/=Duh....mkuu sasa si bora ungeitupia hiyo pesa AliExpress udake tambo la Redmi 9T ipo around 267,000/= maana yakupasa uwe na roho ngumu sana kununua Redmi 8A 2023 hii. Ingawa 250000/= kwa Bongo hii ni bei ya Redmi 9A.
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Redmi 9T inauzwa kwa bei hiyo AliExpress na inatumia chipset ya Qualcomm Snapdragon 662 sio Mediatek. Ukitaka kuipata AliExpress andika Redmi 9T halafu sort by : Order, utaiona Redmi 9T kwa 267000/=Unajua Nini mkuu? Tatizo la redimi 9t na 9a processer zake zote ni mtk alfu hiyo 9t huwezi pata AliExpress Kwa bei hiyo pili hiyo simu nimechukua tu Kwa mda boss wangu, mda c mrf ntachkua aliexpless Xiaomi Redmi not 11 around 450000/=