Ubora wa UDSM ni upi?

Na bila udsm pasingekua na mafisadi....escrow, epa, kiwira, zingekua ndoto
Umesema kweli, ila sema either umesahau au hujapenda kuweka bayana kuwa wapo wengi tu ambao ni viongozi bora na waadilifu waliotoka hapa, ukizingatia hamna course ya ufisadi apa.
 
Hawo waliofanya ugunduzi ni product ya udsm sijui mnajadili nini hapa ila kama unataka kujua zaidi karibu kwenye maonyesho ya idara zote za ud...ni vingi mno kila mwaka kuandika apa muda huo umeniishia
Ndugu yangu mbona unashindwa bidiisha kichwa??? Hujaambiwa useme ni product za wap!! Ndio walisoma udsm lakin sio wafanya kazi wa udsm, kusema tafiti za hao watu ni za udsm kisa hao watu wamesoma udsm ni kujitia uwenda wazimu!!! Toa jibu UDSM wamegundua nini ambacho mtanzania anaweza jivunia???
 
Hiyo ni software gani mbona sijawahi isikia???
 
Mpaka mda huu UDSM imeleta/imegundua nini??? Mleta mada kawa open...kataja sua walichogundua, makerere pia!!! How about udsm!!???? Maana isijekua jina tu kumbe hamna kitu
....kwahio kama hamna aliopost hapa it means hamna au...? Kama niivo ngoja nikalale tu.
 
Mi sijaona aliposema magari tu!! Zaidi ya kutolea mfano wa makerere na sua!!! Swali ni je, udsm wamegundua nini mpaka leo???
 
Udsm Ni Chuo kikuu cha Taifa ila Vingine ni Taasisi za Elimu ya Juu.

Wale wanaosoma course za Uinjinia na wale wanaosoma VETA Ufundi wanatofautiana Makaratasi (vyeti) ila wote ni Mafundi Kujenga.
Unamaanisha wanaosoma pale coet ni sawa na vijana wa veta???
 
Nitampa secretary idea yeye ataniandikia barua hiyo ndio profession yao, niko mwaka wa pili chuo sijawahi kukutana na course yakuandika barua kwa level ya degree,,, hawategemei sisi kufanya kazi hizo wapo wataalamu wake.
Unasoma chuo gani? Au na wewe uko udsm??? Mwaka wa pili hujui kuandika barua??
 
Kuna mmoja kasema atampa barua secretary amwandikie...yeye yuko mwaka wa pili ud na hajui kuandika barua
 
Hujataka kuziona kwasababu umejicondition hivyo....ila jaribu kufikiria udsm isingekuwepo Tanzania ingekua vipi? Kwa kweli Historia ya Tanzania ingekuwa tofauti na tunavyohifamu leo.
So you're a lawyer (from udsm) na hujui kuandika barua???

Mbona swali liko open??? Kasema weka tafiti zenye tija zilizofanywa na chuo chako hapa!!! Yeye kaweka ya sua na makerere kwanini wewe hutaki kuweka zaidi ya kubwabwaja???
Acha battle bwana ..nipo udsm. First year Nilisoma communication skills for lawyers hamna uandishi wa barua,barua nimesoma form one na form six language 1 topic ya writing.
 
So you're a lawyer (from udsm) na hujui kuandika barua???

Mbona swali liko open??? Kasema weka tafiti zenye tija zilizofanywa na chuo chako hapa!!! Yeye kaweka ya sua na makerere kwanini wewe hutaki kuweka zaidi ya kubwabwaja???
Huku tunafundishwa kubwabwaja...[emoji13] [emoji13]
 
Ndo tunaomba uweke link hapa tuione, pia useme imesaidia nini huko kwenye ajali zinazotokea kila siku
Waone udsm COICT .... ndio wamiliki siwezi kupost hapa itakua copyright infringement.
 
Hata cku moja,huwezi kuta mtu ambae ana reasoning ability nzuri akirusha mawe kwenye mti usio namatunda.
 

Uliwahi kutafiti walikosoma hao wagunduzi wa panya kutegua mabomu?
 
UDSM yakawaida sana na wala haina mchango wowote hapa TZ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…