Ubora wa juice za Azam una mashaka

Ubora wa juice za Azam una mashaka

Juice za viwandani zina kemiko nyingi huwenda ikawa tumbo lako limeshazikataa hizo kemiko ndio maana tumbo likaleta mfulugo
 
jamani jioni hii nimejinunulia juice ya azam mango ile ya box ya litre 1,lakini cha ajabu test yake imekua ya ajabu sana,imenivuruga sana tumbo saiv natapika kila baada ya dakika kama 5 na ni serious sana na tumbo linauma vby, juice haija expire na nimezoea karibu kila siku kunywa.nipeni ushauri wenzangu
juice wanatengenezea maembe yalooza,usiulize sana
 
Halafu km ulikuwa unakunywa cku zote lkn leo ndio imetokea hvyo huoni kwamba kuna walakini na huo msosi wakobwa leo ukiachana na hiyo juice
 
jamani jioni hii nimejinunulia juice ya azam mango ile ya box ya litre 1,lakini cha ajabu test yake imekua ya ajabu sana,imenivuruga sana tumbo saiv natapika kila baada ya dakika kama 5 na ni serious sana na tumbo linauma vby, juice haija expire na nimezoea karibu kila siku kunywa.nipeni ushauri wenzangu

unatumika vibaya kijana.
 
Matunda yote haya mtaani bado wahangaika na miboski ya juisi za kusindikwa???
 
Jamani jioni hii nimejinunulia juice ya azam mango ile ya box ya litre 1,lakini cha ajabu test yake imekua ya ajabu sana,imenivuruga sana tumbo sasa hivi natapika kila baada ya dakika kama 5 na ni serious sana na tumbo linauma vibaya.

Juice haija expire na nimezoea karibu kila siku kunywa.

Nipeni ushauri wenzangu.

Nenda kwa Daktari wako au hospitali iliyo karibu.
 
Tembelea Dampo la Pugu Kinyamwezi ndo utapata siri ys hizi Azam juice.

REPACKAGING
 
Kila siku ??mhh,zna sukari nyingi sana mkuu,Hapo ungenunua maembe makubwa mawili yangekutosha juice ya mtu m1,nasikia wanaweka ngano chuzi la juice liwe zito..kazi kwenu,nakunywaga hzo azam kwa hamu tu,ila sio nzuri sana kiafya
 
Mm nipo karibu na kiwanda cha azam kinachotengeneza hizo juice.Nje ya kiwanda unakuta magari ya matunda yanayosubiri kuingia kiwandani yanakaa mpk cku 3 nje,matunda yanaozea pale nje.Lkn inasemekana matunda yakioza ndo juice inano

Sikuwah kujua hilo ina mana wanachangay wadudu
 
Jamani jioni hii nimejinunulia juice ya azam mango ile ya box ya litre 1,lakini cha ajabu test yake imekua ya ajabu sana,imenivuruga sana tumbo sasa hivi natapika kila baada ya dakika kama 5 na ni serious sana na tumbo linauma vibaya.

Juice haija expire na nimezoea karibu kila siku kunywa.

Nipeni ushauri wenzangu.

mkuu, achana na hiyo mijuisi ya kiwandani, andaa juisi yako mwenyewe kwa kutumia matunda asilia. utakuja kujilisha sumu. umeelewa eeh!
 
Back
Top Bottom