fantastic philip
Senior Member
- Oct 17, 2015
- 194
- 680
Kuna mtu anahoji,
Kwanini nimekazana na Azam tu na sio kampuni zingine...
Hoja yangu ipo very clear,
Kwamba Azam tunamshika hadi aondoe kemikali 2 ambazo kitaalam hazishauliwi kuchangaywa kwa wakati mmoja,
Kemikali hizo zipo mbili yani Asobic Acid na Benzoate hizi kemikali zikiwekwa kwa pamoja ndio chanzo kikuu cha atakaye kunywa lazima apate
Pili tupo very clear,
Kwamba Azam anatumia Lebo ambayo ina maandishi yanasomeka Juice Halisi ya Matunda, ila ukisoma viungo (ingredients) zilizomo hakuna Puree/pure juice ya Embe na badala yake Azam ametumia upotoshaji wa maneno ambapo anatumia pulp sawa na Jam ya matunda kiasi kwamba jam haisabiki kama matunda halisi bali husabika kama standard ya flovour ya matunda ila ubora wake unakuwa kwamba zile kamba kamba kama za matunda husalia (cubs) kutumia matunda Halisi kwa Ufahamu wa watanzania watakuwa wanakunywa hata chupa 7 wakijiamini ni Embe kweli kumbe hakuna lolote, ni kemikali tupu kama juice zingine..
Mwisho ni pendekezo na wala sio lazima
Amezidisha CMC ambayo hii ni chumvi hutumika kuzidisha uzito wa juice uzito huu sio mzuri hasa kwenye eneo la tumbo ila hii ni uwamzi wake sababu chumvi hii inatia ukakasi kwenye koo.
Sasa hapa ndipo naposimama,
Waziri wa afya yupo
RAISI SAMIA YUPO
WAZIRI MKUU YUPO
Hawa nao watakuwa wanaliona hili, japo sio kwamba ni watumiaji hata wao wanajua kuwa sio salama kama tukilifumbia macho, ndio maana tukaenda kusoma ili kusimamia haki na Ukweli, za ndugu zetu watanzania.
Soma pia > Tuseme ukweli kuhusiana na Bidhaa za Azam. Kuna mengi tunayanyamazia…
Kwanini nimekazana na Azam tu na sio kampuni zingine...
Hoja yangu ipo very clear,
Kwamba Azam tunamshika hadi aondoe kemikali 2 ambazo kitaalam hazishauliwi kuchangaywa kwa wakati mmoja,
Kemikali hizo zipo mbili yani Asobic Acid na Benzoate hizi kemikali zikiwekwa kwa pamoja ndio chanzo kikuu cha atakaye kunywa lazima apate
Yeye akaondoa moja wapo ya kemikali moja wapo tunaamini madhara yatakuwepo ila sio kama ambavyo amefanya hapa kwenye juice hii ya Embe hii ni HATARI watanzania watakna kama tunachuki ila hapa ni kati ya kutetea afya za watoto au tukubali Azam andele kuzia nje juice za Embe bora huku ndani kizazi cha watanzania wakiumia.Saratani ya damu na sio lazima iwe leo, saratani huenda na kukua polepole....
Pumu
Shida ya kifua
Kikohozi sugu
Kupoteza hamu ya kula
Pili tupo very clear,
Kwamba Azam anatumia Lebo ambayo ina maandishi yanasomeka Juice Halisi ya Matunda, ila ukisoma viungo (ingredients) zilizomo hakuna Puree/pure juice ya Embe na badala yake Azam ametumia upotoshaji wa maneno ambapo anatumia pulp sawa na Jam ya matunda kiasi kwamba jam haisabiki kama matunda halisi bali husabika kama standard ya flovour ya matunda ila ubora wake unakuwa kwamba zile kamba kamba kama za matunda husalia (cubs) kutumia matunda Halisi kwa Ufahamu wa watanzania watakuwa wanakunywa hata chupa 7 wakijiamini ni Embe kweli kumbe hakuna lolote, ni kemikali tupu kama juice zingine..
Mwisho ni pendekezo na wala sio lazima
Amezidisha CMC ambayo hii ni chumvi hutumika kuzidisha uzito wa juice uzito huu sio mzuri hasa kwenye eneo la tumbo ila hii ni uwamzi wake sababu chumvi hii inatia ukakasi kwenye koo.
Sasa hapa ndipo naposimama,
Waziri wa afya yupo
RAISI SAMIA YUPO
WAZIRI MKUU YUPO
Hawa nao watakuwa wanaliona hili, japo sio kwamba ni watumiaji hata wao wanajua kuwa sio salama kama tukilifumbia macho, ndio maana tukaenda kusoma ili kusimamia haki na Ukweli, za ndugu zetu watanzania.
Soma pia > Tuseme ukweli kuhusiana na Bidhaa za Azam. Kuna mengi tunayanyamazia…