Hii juisi ya chungwa ya Azam, bila shaka imekosewa sample combonation yake halafu cha ajabu sijui kwanini hawaiondoi sokoni sample hiyo. Kwa kawaida nilikuwa nikinunua juisi ya Apple au Embe, kuna siku hizo juisi hazikuwepo so nikachukua orange, aiseey! Sikuweza kumaliza hata ujazo wa kizibo cha soda. Kama mleta mada alikunywa hii, ni budi imsumbue, ila brand zake nyingine ni nzuri.Mi nishawahi kununua juisi yao ya machungwa mbona nilikoma!
Juisi ilikuwa na ladha ya ajabu ajabu ambayo hata siwezi kuielezea vizuri.
Chungu si chungu, harufu mbaya kama vile walitumia machungwa yaliyooza, nzito utadhani uji, hovyo kabisa.
Ubora wa bidhaa za Azam uko chini sana.
Sasa hapa itabidi ufafanue kwani inaonyesha mchawi wako sio juice ambayo unasema umezoea kunywa juici hiyo karibu kila siku. Je ni kila siku ukinywa hali inakuwa hivyo? Kama no, anza kuvuta kumbukumbu mkuu chanzo chengine cha hali uliyobayo. Lkn la muhimu ni kuwahi hospitalijuice haija expire na nimezoea karibu kila siku kunywa.nipeni ushauri wenzangu
Hii juisi ya chungwa ya Azam, bila shaka imekosewa sample combonation yake halafu cha ajabu sijui kwanini hawaiondoi sokoni sample hiyo. Kwa kawaida nilikuwa nikinunua juisi ya Apple au Embe, kuna siku hizo juisi hazikuwepo so nikachukua orange, aiseey! Sikuweza kumaliza hata ujazo wa kizibo cha soda. Kama mleta mada alikunywa hii, ni budi imsumbue, ila brand zake nyingine ni nzuri.
mleta mada unazingua wewe sasa kama tumbo limekuzingua unakuja mtandaoni kufanya nini nenda hospital huwenda ukawa unaumwa mengine tu na sababu sio hiyo juisi wala nini tena wewe mhuni mkubwa kabisa!! wewe kutwa nzima hujala kitu lazima lizingue sema ukweli hujashinda njaaaa wewe leo!!
Huu ndo ushauri mzuri mimi situmiagi kabisa nina kama miaka 3 kuna wakati nilizifungua nikakuta vituko ambavyo sio vyema kuandika hapa wasije wakasema ni hujuma.Nanunua matunda na tunatengeza juice ya familia na ina uhakika.Hizi juice za hawa waarabu na hawa wahindi hata wenyewe hawazitumii!!Dada nunua blenda andaa juice yako mwenyewe kwa maji safi na unaosha matunda vizuri.viwandani wanachukua matunda yalioza na mazima bora twende.
Mm nipo karibu na kiwanda cha azam kinachotengeneza hizo juice.Nje ya kiwanda unakuta magari ya matunda yanayosubiri kuingia kiwandani yanakaa mpk cku 3 nje,matunda yanaozea pale nje.Lkn inasemekana matunda yakioza ndo juice inanoga.
Ukiwa mtanzania ukasema hizi za waarabu name hizi za wahindi maana YAKE umefilisika kiakili na ufaham wako mdogo.kuwa karibu name kiwanda Haina maana unajua kila kitu je anaekaa karibu na kiwanda cha bia mlevi? Azam Mara zote humjali mlaji na kwa taarifa yenu ni kiwanda pekee cha kitanzania kinachomkomboa mwananchi mashine na miundo mbinu YAKE hakuna east and central africa.a cha kuropoka kuwa muulizaji.nenda kaombe kutembelea ukaone uhalisia cc wenzio tumeenda na time on a ukweli usiwe ----- uliza ujuwe
jamani jioni hii nimejinunulia juice ya azam mango ile ya box ya litre 1,lakini cha ajabu test yake imekua ya ajabu sana,imenivuruga sana tumbo saiv natapika kila baada ya dakika kama 5 na ni serious sana na tumbo linauma vby, juice haija expire na nimezoea karibu kila siku kunywa.nipeni ushauri wenzangu
TFDA kazi inawashinda....wako wachache hawataki kuajiri wafanyakazi wapya...ufanisi wa kazi unapungua kozi ya misongamano ya kazi.
Pole kaka.
Sent from Samsung Note III using Tapatalk
jamani jioni hii nimejinunulia juice ya azam mango ile ya box ya litre 1,lakini cha ajabu test yake imekua ya ajabu sana,imenivuruga sana tumbo saiv natapika kila baada ya dakika kama 5 na ni serious sana na tumbo linauma vby, juice haija expire na nimezoea karibu kila siku kunywa.nipeni ushauri wenzangu