Ushirombo
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 3,558
- 2,711
Jamani jioni hii nimejinunulia juice ya azam mango ile ya box ya litre 1,lakini cha ajabu test yake imekua ya ajabu sana,imenivuruga sana tumbo sasa hivi natapika kila baada ya dakika kama 5 na ni serious sana na tumbo linauma vibaya.
Juice haija expire na nimezoea karibu kila siku kunywa.
Nipeni ushauri wenzangu.
Juice haija expire na nimezoea karibu kila siku kunywa.
Nipeni ushauri wenzangu.