Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,155
- 31,050
Kenny ni creative kuliko Hanscana haijalishi alikuwa mshika camera wa Hanscana hii ni kawaida mtu kuanza kam msaidizi ila akaongeza ubunifu akawa mkali zaidiKenny ni product ya Hanscana
Kenny ni creative kuliko Hanscana haijalishi alikuwa mshika camera wa Hanscana hii ni kawaida mtu kuanza kam msaidizi ila akaongeza ubunifu akawa mkali zaidiKenny ni product ya Hanscana
Kwahiyo alikuwa mbeba camera unataka tumuiteje sasa.
Sasa yeye mwenyewe anasema hivyo we ndo unabisha duh wabongo bhnaJenga hoja kama msomi mkuu.punguza personal attacks
Saw a nakubali lakini bado hujataja hizo kazi alizo copy hanscana wezele.ya mavoko alishoot Luca shwahilikuhusu idea za video mondi ana maadui mzee, nani alikuwa anamjua iza hapa bongo???
Nandy video yake ya na nusu kuna kipande amekopi kwenye video ya tip toe ya Jason delulo ila ulisikia wapi inaongelewa???
Kuna ile wezele ya rich mavoko alikopi full video ya burnaboy ya on the low ila hakuna ilipoongelewa.
Mti wenye matunda ndio ambao hupigwa mawe, hanscana anacopy video nyingi tu sema tu hafuatiliwi.
kushoto kulia kakopi kwa baba lao,Saw a nakubali lakini bado hujataja hizo kazi alizo copy hanscana wezele.ya mavoko alishoot Luca shwahili
Majinga sana yanaleta chuki za kijingaMbona watu wengi wanakimbiliaga KUBEBWA NA LABEL, vinaniboa na nyie undeni label yenu iwabebe ebooooh limeniboa KENNY BABA LAO
Diamond hua hakopi nyimbo za watu?Diamond ni mti wenye matunda ndio ambao hupigwa mawe.
Hata Kiba anacopy sema tu ndio vile
Ndio maana nimekwambia hata Kiba anacopy ila Diamond ndo anafuatiliwa sana.Diamond hua hakopi nyimbo za watu?
FactNdio maana nimekwambia hata Kiba anacopy ila Diamond ndo anafuatiliwa sana.
hata hivyo hanscana alikuwa mbeba camera wa khalfan, na khalfan alikuw mbeba camera wa Nisher kwa hiyo Nisher ndo baba yaoKwanza ujue tu Kenny alikuwa mbeba camera wa hanscana.itoshe halo.
Kumfananisha hanscana na Kenny ni sawa messi na dilunga
umesharekodi nyimbo ngapi kwa hao wawili??Mi hanscana simuelewi.. kenny namuona creative sana
umesharekodi nyimbo ngapi kwa hao wawili??
ubora wa kenny dhidi ya hanscana umeupimaje au umeamua kumpenda mmoja wapoMimi sio mwanamuziki.. ni mshabiki wa muziki.. je mashabiki haturuhusiwi kutoa maoni
ubora wa kenny dhidi ya hanscana umeupimaje au umeamua kumpenda mmoja wapo
Nisher yuko wapi?Kwa director was bongo, nafikiri ni upepo tu, director wangu wa muda wote atabaki Adam Juma, wakapita Kallaghe, Eren Epidu, Nisher na Msafiri Shaban, dogo simuelewi kivile
Anasimamia kazi za mzee wake . Alisema alikuja kwenye Game kutoa somo . Tunamshukuru katuletea Hanscana na KhalfaniNisher yuko wapi?