Ubora wa camera ya Tecno camon cx

Mkuu hivi unafahamu tecno inauzwa africa tu,tena sio nchi zote,sasa utanishawishi vipi kuwa simu ambayo hata FCC hawaitambui inaweza kuwa na kamera bora kuliko flagships za samsung na wengineo wanao compete worldwide.?

....Hayo mambo ya FCC ni mbwembwe tuuu, wewe una Samsung yeye ana Tecno wote mnakutana hapa JF and other social networks na mambo yanaenda freeesh. Au wewe ukiwa na samsung post yako inakuwa kali sana kama zile za mkimbizaji Lissu??
 
....Hayo mambo ya FCC ni mbwembwe tuuu, wewe una Samsung yeye ana Tecno wote mnakutana hapa JF and other social networks na mambo yanaenda freeesh. Au wewe ukiwa na samsung post yako inakuwa kali sana kama zile za mkimbizaji Lissu??
Mkuu hatq bodaboda,bajaji,vitz,x6,A5 zote zinakufikisha unapotaka kwenda,laki haimaanishi vyote ni sawa,jamaa kashindanisha ndo mana nikamjibu sio kwamba nimeponda brand pendwa(tecno),mana hata mimi nishaitumia
 
We acha kusema uongo tecno zinatumiwa Africa tu???you can't be serious nenda Dubai ,uone tecno zilivyo kama ubwabwa nimetumia brand nying za simu ila simu za tecno za siku hizi camera wanaongoza
jmn Kha
 
Mkuu nitaomba upige picha ya mbali zaidi ili nizoom niprove hilo... Maana nikiangalia hizi picha umepiga karibu sana tena ukiwa room!
ili nipige picha ya mbali itabidi nitumie megapixel zote, na tunaongelea mb 15 kwenda mbele kwa picha moja, naweza maliza vifurushi vya watu humu.

na unapoongelea picha za mbali Nokia 808/1020 ndio nyumbani kwao sababu ina lossless zoom.

ngoja jioni nikipata nafasi nitapiga then nizihost sehemu nitume link.
 
....Hayo mambo ya FCC ni mbwembwe tuuu, wewe una Samsung yeye ana Tecno wote mnakutana hapa JF and other social networks na mambo yanaenda freeesh. Au wewe ukiwa na samsung post yako inakuwa kali sana kama zile za mkimbizaji Lissu??
Tecno kwa heavy users haifai,simu zina target watumiaji kwa hiyo kuwa na Tecno haimaanishi utafanya kila anachofanya mwenye samsung.

Security za Tecno ni mbovu sio kama Samsung.
 
Tecno kwa heavy users haifai,simu zina target watumiaji kwa hiyo kuwa na Tecno haimaanishi utafanya kila anachofanya mwenye samsung.

Security za Tecno ni mbovu sio kama Samsung.

Hizo simu zenu za samsung sionagi hata cha kujivua zaidi ya jina lake tu.. Ni kama iPhone angeamua kutengeneza simu za bei rahisi its means kila ambaye angekuwa nayo naye angejiona class fulani expensive kumbe hakun lolote la zaidi same finger touch,display,music player and other stuff...mi natumia tecno w4.na c9 nafanya kila kitu ambacho wa samsung anafanya sasa nibabaike na kudumu kwa simu wakati technology inakwenda kasi.
 
TAFUTA TEKNO CANNON CX NEW BRAND INA CAMERA HD YA MBELE 16MP NA YANYUMA 32MP,INTERNAL MEMORYCARD 16GB NA EXTENAL 32GB HAPA GALAX,LG,IPHONE IKASOME
ukubwa wa megapixels(MP)sio ubora wapicha
ubora wa picha unajumuishwa na mambo mengi zai ya hizo MP.
 
Duuuuh heshima ngoma kama haijakuzwa hatareeee kwa afyaaa respect lumia


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba niisave

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama tecno ipo kwenye Top 20 ya simu bora dunian ndio ubshe sio unakomaa tu

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Nyinyi ndiyo mamburura mnao jidai kwenda na wakati utasikia nataka laptop ya kisasa wakati akuna cha maana anachofanyia zaidi ya kuangalia porn (ngono) stupid mank
 
Kama tecno ipo kwenye Top 20 ya simu bora dunian ndio ubshe sio unakomaa tu

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
Je we we Upo kwenye 20 bora hadi unataka hivyo nisawa MTU anavaa nguo ya mamilioni uku ananuka mwili nzima umejaa ukulutu .tecno simu yetu waafrica tuipende
 

Umejaribu kuwaelezea. Je, wanaelewa pia technical meanings za beam sensitivity, resolution na sampling rate (Nyquist Theorem) na jinsi zinavyoathiri signals kutoka analogue kwenda digital, i.e., widht x length x amplitude(brightness/intensity)? Na, je, uhusiano unaotakiwa kati ya pixel ya camera na pixel ya detail inayorecord?

Anyway, kama ulivyosema, watu wanajadili hivi vitu kienyeji kama vile wanalinganisha CHADEMA na CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…