Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
C9 tu camera yake hatar..hyo cx ndio balaa kabisa
Wewe utakuwa unatumia tecno tangu uzaliwe hadi leo, kwa mantiki hii huna uwezo mkubwa wa kufanya ulinganifu wa ubora wa camera za simu kutokana na brand mbalimbali,Of course kwa camera kwa simu za siku hizi hakuna anayemfikia tecno
HeheheheJaribu w5 mkuu ayo ma s6 hayaoni ndani
Hapo Sony umenenaWewe utakuwa unatumia tecno tangu uzaliwe hadi leo, kwa mantiki hii huna uwezo mkubwa wa kufanya ulinganifu wa ubora wa camera za simu kutokana na brand mbalimbali,
Samsung
iphone
Sony
Lg
Nokia
Zishindwe na tecno kweli!!? Watu watakucheka ukitamka kwa mdono hadharani
Huhuhuhuhu kweli kabisa mkuu, wanajifeel inferior sana kuambiwa ukweliWatumiaji wa tecno huwa wanazo tambwe kama watumiaji wa passo, vits na ist
mkuu eneo kama hilo ni ngumu kila mtu kupata hio view. tafuta kitu common
Maana ni kituko kweli tena picha ya tecno ukizoom mpaka mwisho mtu hautomtambua ndio uje ufananishe na iphone au samsung.....kitu cha gharama huwa kinakua na something extra.Huhuhuhuhu kweli kabisa mkuu, wanajifeel inferior sana kuambiwa ukweli
Wasijekusema tunawanyanyapaaMaana ni kituko kweli tena picha ya tecno ukizoom mpaka mwisho mtu hautomtambua ndio uje ufananishe na iphone au samsung.....kitu cha gharama huwa kinakua na something extra.
So wacha tuwakubalie tu kuwa tenco ndio inayo camera quality kwenye market.
Mkuu unaongea na simu auIphone nimezitumia sana lakini Tecno wanajitahidi sana hasa kwenye camera na kukaa na chaji

Yani tumewaza sawaHuu uzi ni wa watumiaji wa tecno ngoja nipite tuu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Iphone nimezitumia sana lakini Tecno wanajitahidi sana hasa kwenye camera na kukaa na chaji
Umetumia iPhone za matoleo gani.?Iphone nimezitumia sana lakini Tecno wanajitahidi sana hasa kwenye camera na kukaa na chaji
Kwa simu za kichina za bei ndogo.mkuu nimekusaidia kumalizia.Of course kwa camera kwa simu za siku hizi hakuna anayemfikia tecno