Ubishi mtaani kuhusu tecno mobile

Ubishi mtaani kuhusu tecno mobile

Kilangi masanja

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
4,598
Reaction score
5,187
Ndugu kuna ubishi umetokea mtaan kwamba simu aina ya tecno ni fake ,wengine wakidai ni orignal .hapakuwa na evidence yoyote ya kuweza kuproove zaidi ya kuangalia IMEI bhasi.wanajamvi kwa mwenye ujuzi tafadhali 2pe msaada
 
aina nyingi kama si zote za simu zina fake na original zake...so it depends unaongelea in what expectations...
 
yaani ununue tecno 30,000/= ina radio,bluetooth,intanet,memorycard n.k halafu iwe original mmh! zipo original na fake pia
 
mkuu tecno sio fake ni low quality phones.

simu fake ni ipi na low quality ni ipi?

fake ni ile ambayo inapromise kitu ambacho haina. mfano umeandikiwa icon ya wifi then ukiclick ni bluetooth, ina app ya fb ukiclick wanakupeleka kwenye browser ya kichina, imeandikwa kwenye box ni hd wakati kioo ni 128x128

tecno ni low quality vitu vyote inavyo wifi, 3g, android na kila kitu sema vipo vya low quality. mfano kwenye simu zake wanatumia vioo vya tft ambavyo havina gorila glass (vioo vigumu). wanatumia resolution ndogo (240x320, 320x480) processor ndogo, ram ndogo.

hope umeelewa
 
HAKika umenifumbua pakubwa kaka MKWAWA XO niwajbu wangu kuchagua ktokana pesa na mahtaj yangu pia
 
yaani ununue tecno 30,000/= ina radio,bluetooth,intanet,memorycard n.k halafu iwe original mmh! zipo original na fake pia
kwani mkuu hamna nokia original zenye vitu hivyo....au hata nokia tochi ni nokia fake???
 
Mi natumia tecno n3 chuoni huku wanashangaa sana eti inapiga mzigo jama samsung hadi inazidi maana ni android kila uchafu wa android mi ninao magame n.k
 
kuna kitu inaitwa Tecno Phantom A. Hiyo kitu usipime. inafanana na samsung galaxy kila kitu.....good quality android phones in cheap prices
 
Nafikiri swali lake ni kwamba je kiwanda cha tecno kinatengeneza simu feki yaani kama wale wa NOKLA,SUMSANG,SUNNY. Jibu ni hapana,tecno ni kampuni reliable kabisa ya simu na inatengeneza vitu genuine.
 
Mi natumia tecno n3 chuoni huku wanashangaa sana eti inapiga mzigo jama samsung hadi inazidi maana ni android kila uchafu wa android mi ninao magame n.k

hadi inazidi kivipi na una i compare na samsung gani?? Maana watu wanajisemea tuuu mara ooh hii kama galaxy s3 wakat hyo tecno ina 2.3 na galaxy ana 4.2 asa sjui çnaendana vp?? Huwez ku access app zote mfano bbm mayb.. Mwenzako ana access unajiita mpo sawa.. Kamera kakutupa mbaliiii ndo usiseme
 
hadi inazidi kivipi na una i compare na samsung gani?? Maana watu wanajisemea tuuu mara ooh hii kama galaxy s3 wakat hyo tecno ina 2.3 na galaxy ana 4.2 asa sjui çnaendana vp?? Huwez ku access app zote mfano bbm mayb.. Mwenzako ana access unajiita mpo sawa.. Kamera kakutupa mbaliiii ndo usiseme

Si sawa..ila anapata apps karibu zote zinazopatikana kwenye S4,so kwa mtu mwenye uwezo mdogo wa kifedha can go for it.
 
Si sawa..ila anapata apps karibu zote zinazopatikana kwenye S4,so kwa mtu mwenye uwezo mdogo wa kifedha can go for it.
Hapa tunadanganyana tu wakuu labda mambo ya s4 labda hatuyajui u can't compare this with tecno maana kuna vitu vingi tu tofauti mfano RAM 1.6 camera 13megapics,Air gesture,smart stay just to mention few so huwezi compare
 
Mkuu kuna member kasema....fake ni ile simu iliyotengenezwa na kiwanda kingine halafu hiyo simu ikabatizwa jina la kiwanda halisi. Kuna nyingine ni kiwanda hicho hicho bt bidhaa ikawa duni(material na techolojia) duni...!!

Hope utajua wapi pa kulalia!!

Tecno kama brand ni brand maarufu duniani ikiwa na makao makuu Hongkong sasa ufeki hata Apple kuna feki
 
Back
Top Bottom