Ubikira Wangu

Ubikira Wangu

hedhi nilipata nikiwa form one na ilikuwa regular ko hamna damu iliyowahi kutoka bahati mbaya
Ukiwa na umri gani?? Kama ni 16 basi wamefanya hivyoo yes wanasoka nao nyakati wanajua kuwa leo wewe utapata hedhi wanakuja siku moja kabla na husikii kitu chochote
 
Kumbuka vizuri mazingira ya nyumbani kwenu yalikuwaje huko nyuma. Ulikuwa unalala na nani, nani alikuwa karibu na wewe muda mwingi, je uliwahi kucheza michezo ya baba na mama utotoni huku vijana wa kiume wakiwa ni wakubwa kwako?

Umewahi kuota ndoto za kufanya mapenzi na mtu/watu unaowajua na usiowajua?

Kitu kingine kisa kama hiki kiliwahi kumtokea dada mmoja hivi namfahamu yeye aliachwa maana alionekana ni muongo shukuru Mungu mumeo alikuelewa.

Visa vya namna hii vipo, na vinawatokea wanawake wengi ila wewe umeamua kutaka kujua chanzo cha tatizo na siyo kujishughulisha na tatizo ambalo huwezi kupata ufumbuzi. Hongera utaujua ukweli siku moja.
 
Yaani mkuyenge ukazama bila kusita? Hukusikia maumivu au discomfort yoyote?

Yaani inavyoingia sasa hivi na ile mara ya kwanza hakuna tofauti hata kidogo?
Hii kauli yake imekaa kiume sana. Nina shaka hasa juu ya jinsia ya muandishi. Muandiko wake umekaa kisela sana.
 
Watu wa jf mwacheni mama wa watu apumzike maana mmemushambulia kama siafu

Kama ni usukumani basi bikira ilitolewa na wahuni wewe bila kujua,kuna kajamaa kalikuwa kana uwezo wa kuwaingilia wadada usiku bila wao kuwa na makubaliano nako na asubuhi hujikita na mashahawa na hufahamu aliemwingilia ni nani,asubuhi walikuwa wanakafata na kukatukana sana wengine walikuwa wanafanya siri

Kwako Mkuyenge ukaingia bila maumivu wakati kuna wanawake wakimaliza muda mrefu pasipo kufanya mapenzi siku wakifanya huwa wanaumia sana
 
kumbuka mtu umeshajiandaa nadhani unaweza kuimagine hali iliyokuwepo mi nachokumbuka mzigo uliingia akapump mara moja akashindwa,nadhani ni yale mategemeo ya bikra,nikizungumzia kwa uzoefu wa sasa maumbile yangu yako sawa yaani yanatight,maumbile kutight hayahusiani na maumivu
Lipia matangazo ya Biashara....
 
Back
Top Bottom