Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,509
- 94,625
Duh hayasiukweli sikuhisi maumivu
Duh hayasiukweli sikuhisi maumivu
sikuja hapa kwa ajili ya kuchekesha jukwaaShule hujaenda Kama unavojinadi
Boya wako yuko humu unamuaminisha uongo
ndio zile za zamani kwetu ilikuwa kawaida kuendesha baiskeli sina hakika kama ni yenyewe ama ni nini hiyo niliipata kwenye kujisomeaHiyo baisikeli ilikuwa Phoenix nini![]()
kilichonishangaza ni kutopata maumivu na damu sijaona yaani ile experience ya bikira ndo sinaNimewaza hivyo pia
sema tu nimeeleza nilichopitiaNa kingine nilichowaza sikisemi
Umeumbwa tofauti labdakilichonishangaza ni kutopata maumivu na damu sijaona yaani ile experience ya bikira ndo sina
jamani sijatunga story mtu anavyoleta issue sensitive kama hivi alafu unasema ni chai siyo poaKwauzoefu wangu hii ni stori ya kitunga Tena na mwanaume
labda pia hiyo nayo ni pointHapana
Nimewaza labda aliwahi kuingiliwa akiwa mdogo. Na hakuwahi kujua
ndo niniKalavati
kwangu sio shida nalo ni wazo pia tena la kujenga,maana yake umenipa wazo jipyaMie nawaza tu. Kaleta bango mwenyewe
ndo uhalisia wenyewe mkuuMmh! Inastaajabisha kidogo
sijawahi kuumwa UTI wala typhoidKatafute tu AZUMA umeze 1×1
Ni dawa nzuri sana ya UTI sugu.
kutokana na kupenda kujisomea vitu mbalimbali mmewangu mzigo anaokama ni kweli, umeolewa na mtu wa kibamia, ukithubutu hata dakika moja unipatie mimi shy land kutoka usukumani shinyanga, naamini utakuwa mugawaji sana maana utatumia nguvu kubwa kumpata shy land mwingine, na kumpata hutompata:-[ au nikuulize una mtoto, kama hauna siku yakujifungua ndio itakuwa siku yakotolewa bikra
mpaka hapo ushaelewaKwani we wa kike
Lengo la bandiko hili ni nini?
story yangu haina uhusiano na kidimbwiUkisikia kidimbwi ndio huku sasa
ahsante mkuu,umenipa challenge mpya haya mawazo ndo nilikuwa nataka lakini kwa sababu jf siku hizi ina watu wa ovyo wengi wamekurupuka mara una maumbile makubwa mara hiki mara kilePengine mleta mada alibakwa akiwa mdogo bila yeye kujua
Leo ijumaa niliwaza kidimbwi, pole 😁story yangu haina uhusiano na kidimbwi
sijawahi mkuu na hata sexual drive(sikuwa nazo kabla)Ama alikuwa anajijaza madole huko chini
HehUlitolewa kimazingira ya kishirikina
