Uber Itaua Bajaj na Bodaboda

Uber Itaua Bajaj na Bodaboda

Screenshot iyo route yako... Na bei yake... Mbona mambo mepec tu fungua app yako iweke tuone bei ya elfu tatu na umbali wake shider ipo wap kwan...tuone cc tunajua dhakhama wanazo pata dereva wa uber... Bajaj huwezi kuuwa soko lake... Na sportpesa tena ndo wanazidi kutoa fursa... Kwann wasieke uber
Sitaki watu wa Uber wanijue.
 
Mkuu Kingdeeper hakuna aliyebisha.
Kama umemsoma vzuri mleta mada amezungumzia nauli ndogo za Uber kwa safari fupifupi.
Pia wanufaika wanaopewa kipaumbele ni watumiaji wa mara kwa mara wa Uber . Sasa mtu kama kakurupuka leo tu kwa kuwa kasikia promo ni wazi hawezi kukutana mara moja na hilo punguzo.
Ww ndo unasema kwel... Huyo jamaa naona ameipa bichwaa uber... Mbona bajaji ina route fupi fupi kwa miatano tu... Mfano Unaweza panda bajaji Mwenge mpaka tankbovu kwa jero tu... Sasa mm naona anaipa Sifa aelezi vzuri kama ulivo sema ww.. Saiv
 
Umewahi kuchajiwa 1000 uber mkuu??...Mimi natumiaga Uber but sijawahi kuona hiko kitu tena huwa nakuwa na trip fupi fupi nying...Nakumbuka kiasi kidogo nilicho wahi kulipa kwa Uber ni 6500 kutoka Pale Azam Tv tabat ToT cjui ndio kituo kinaitwa hivyo mpaka Tabat Kimanga.

Wakihisi tu umetoka Kyaka Nkunde na Ikupilipa Nkoba Villages lazima ' wakuchaji ' hiyo bei / gharama.
 
Ww ndo unasema kwel... Huyo jamaa naona ameipa bichwaa uber... Mbona bajaji ina route fupi fupi kwa miatano tu... Mfano Unaweza panda bajaji Mwenge mpaka tankbovu kwa jero tu... Sasa mm naona anaipa Sifa aelezi vzuri kama ulivo sema ww.. Saiv
Mkuu pole kwa kukukwaza, ila ndio hivyo trip 1000/- full AC unadhani nitachukua tena Bajaj?

Bajaj z za jero mnajaza watu wanne acha fix wewe.
 
Umewahi kuchajiwa 1000 uber mkuu??...Mimi natumiaga Uber but sijawahi kuona hiko kitu tena huwa nakuwa na trip fupi fupi nying...Nakumbuka kiasi kidogo nilicho wahi kulipa kwa Uber ni 6500 kutoka Pale Azam Tv tabat ToT cjui ndio kituo kinaitwa hivyo mpaka Tabat Kimanga.
Yeah, Mimi hutumia Uber. Ila mara nyingi hizo buku buku ni Hadi uwe na offer. Unakuta una offer ya 50% off for a week. So Bei inashuka sana
 
Kwa hii nauli ya Uber ya 1000/- kwa trip fupi fupi kuna kila dalili Bajaj na Bodaboda zitakosa wateja.
Umbali ambao Uber wanachaji 1000/- bajaj wanatoza 2000-3000/-. Kwa mtaji huu inaweza kuwa nafuu kutumia Uber kuliko gari yako.
Unafikiri kila mtu anaijua hiyo uber
 
Ww ndo unasema kwel... Huyo jamaa naona ameipa bichwaa uber... Mbona bajaji ina route fupi fupi kwa miatano tu... Mfano Unaweza panda bajaji Mwenge mpaka tankbovu kwa jero tu... Sasa mm naona anaipa Sifa aelezi vzuri kama ulivo sema ww.. Saiv
Bajaji ya jero nyuma wa nne mbele wawili kuna usalama kweli hapo?
 
Kwa hii nauli ya Uber ya 1000/- kwa trip fupi fupi kuna kila dalili Bajaj na Bodaboda zitakosa wateja.
Umbali ambao Uber wanachaji 1000/- bajaj wanatoza 2000-3000/-. Kwa mtaji huu inaweza kuwa nafuu kutumia Uber kuliko gari yako.
Mkuu kama hutajali unaweza kunambia hii uber ni makitu gani??

Huwa nasikia uber sasa sijajua ni usafiri wa namna gani wallah...
 
Hahahah mwanangu we wakala wa uber... Apo umeongeza chumvi... Ukiona nyuma wanne wanajuana na hawataki kubak bila kupanda bajaji...

Eti na nyie buku service ya gari wanafanya uber au ndo wakala tena
 
Kuna mahali nimesema kila mtu anaijua Uber? Hii
Sasa itauaje usafiri wa boda boda na bajaji kuna watu wako huku uswazi hawapo aware na hiyo uber wanaruka na hizo boda na bajaji kwahiyo kila mtu na soko lake
 
Mkuu kama hutajali unaweza kunambia hii uber ni makitu gani??

Huwa nasikia uber sasa sijajua ni usafiri wa namna gani wallah...
Tumia smartphone yako google Uber utapata info zote.
 
Hahahah mwanangu we wakala wa uber... Apo umeongeza chumvi... Ukiona nyuma wanne wanajuana na hawataki kubak bila kupanda bajaji...

Eti na nyie buku service ya gari wanafanya uber au ndo wakala tena
Wakala wa Uber yukoje? Mimi ni abiria aliyeridhishwa na huduma, kwasababu umebisha ngoja niweke TRIP HISTORY YA JANA NA LEO. Unajua trip history? Angalia hapo juu.
 
Hao wanaosema buku c mawakala wa uber... Mwanzon walikua ivo ili wateja muwe wengii sasa hivi mpo wengi kweli... Maana watanzania mnapenda ganda la ndizi...

Sasa hivi hakuna mnabisha tu... Na sumatra wanakuja maana uber haileweki n Tax au private car.. Ngoja cku itokee ajali Cjui bima gani itawa cover

Mnaongea tu kuipamba uber kumbe yaleyale bora bajaji...

Kama mnabisha fungua app ya uber screenshot tuone bei zake... Msiongee kiboya wanabei tu kama ya bajaj tena bajaji unaweza ata kukopa..
We itakuwa ni dereva bajaj ww
 
Hawawezi kuweka bei... Mawakala tu hao... Hawanajipya kama mnapanda kwa bei poa tufanyaje sasa mnataka mbebwee kichwani....

Bajaji tumetulia hakuna kijigambaa kindezii... Uber haiwez kufanya kazi dar na mwendokac labda mpite ktk barabara za mwendo kac na hamuwezii...
 
Back
Top Bottom