Uber Itaua Bajaj na Bodaboda

Uber Itaua Bajaj na Bodaboda

87603e5a41aa6f05dfff8f48ca17c464.jpg

Uber walete na Ndege
 
Umewahi kuchajiwa 1000 uber mkuu??...Mimi natumiaga Uber but sijawahi kuona hiko kitu tena huwa nakuwa na trip fupi fupi nying...Nakumbuka kiasi kidogo nilicho wahi kulipa kwa Uber ni 6500 kutoka Pale Azam Tv tabat ToT cjui ndio kituo kinaitwa hivyo mpaka Tabat Kimanga.
kutakua kulikua na jam labda, nishatumia hata kwa 3000
 
sehemu ambayo teksi waliniambia 45000 nilitumia 10000 tena kwa kumuachia dereva chenji, hahahahah
 
Lazima usema hivyo kwa kuwa gari lako mafuta huna uwezo nalo
 
Ni punguzo la muda mfupi tu,

Ni katika kujitangaza zaidi na kuvutia wateja zaidi ambao hawajawahi kutumia Uber.

Kwa hali halisi haiwezekani, Time will Tell.
 
Uber kwa kweli
Mi.siijui naomba.maelezo.inakuaje
Pakua app ya Uber kutoka playstore ingiza promocode ya TZABA05 na utasafiri bure hadi umbali unaogharimu tsh 6200 kwa mara ya kwanza. Usipoelewa niPM nitakuelekeza zaidi
 
Last edited:
Back
Top Bottom