Uber Itaua Bajaj na Bodaboda

Uber Itaua Bajaj na Bodaboda

Bajaji ziliuwa biashara ya tex
naona biashara ya tex kupitia Uber wanafanya revenge
labda bajaji nao waanzishe uber ya kivyao vyao.....
 
I heard about taskify kama sijakosea kuandika...nasikia hao jamaa wameshusha sana kuvuta wateja sasa Uber akaona aende nao sawa kwa kucompete kwenye price by lowering price too
 
Kwa hii nauli ya Uber ya 1000/- kwa trip fupi fupi kuna kila dalili Bajaj na Bodaboda zitakosa wateja.
Umbali ambao Uber wanachaji 1000/- bajaj wanatoza 2000-3000/-. Kwa mtaji huu inaweza kuwa nafuu kutumia Uber kuliko gari yako.
Na zife tu mana walizidi kutupiga hele ndefu. Sasa full kiyoyozi ndani ya ubber
 
Kwa hii nauli ya Uber ya 1000/- kwa trip fupi fupi kuna kila dalili Bajaj na Bodaboda zitakosa wateja.
Umbali ambao Uber wanachaji 1000/- bajaj wanatoza 2000-3000/-. Kwa mtaji huu inaweza kuwa nafuu kutumia Uber kuliko gari yako.
Kuna watu wanaitwa taxify.... ni kiboko mkuu.... bora niache ndinga na hizi faini za trafiki tuu.... km 1 wanachaji 500/=

Nilitoka airport hadi ubungo kwa 9800 kitu ambacho hapo awali isingewezekana
 
Kuna watu wanaitwa taxify.... ni kiboko mkuu.... bora niache ndinga na hizi faini za trafiki tuu.... km 1 wanachaji 500/=

Nilitoka airport hadi ubungo kwa 9800 kitu ambacho hapo awali isingewezekana
Aisee umeongea la maana sana. Ukifikiria hizi faini za kijinga ni mara mia Uber au Taxify
 
Hahaha nilipoona kichwa cha habari nilitaka kutoa taarifa polisi. Kumbe habari za kichochezi
 
Uber wana punguzo kwa sasa.
Du nimetest hapo imekuja Tsh 14k
20180125_182204.png
 
Uber ni most affordable kuliko hata bajaji.

Kuna mahala nilikua naenda kwa taxi ya kawaida kwa elfu 20, bajaji elfu15, lakini uber wananichaji elfu 9 au 11, ikiwa foleni elfu 14.

Ila usijaribu kitu kinaitwa taxify, watu wa hovyo sana.
 
Back
Top Bottom