Uber Itaua Bajaj na Bodaboda

Uber Itaua Bajaj na Bodaboda

Hao wanaosema buku c mawakala wa uber... Mwanzon walikua ivo ili wateja muwe wengii sasa hivi mpo wengi kweli... Maana watanzania mnapenda ganda la ndizi...

Sasa hivi hakuna mnabisha tu... Na sumatra wanakuja maana uber haileweki n Tax au private car.. Ngoja cku itokee ajali Cjui bima gani itawa cover

Mnaongea tu kuipamba uber kumbe yaleyale bora bajaji...

Kama mnabisha fungua app ya uber screenshot tuone bei zake... Msiongee kiboya wanabei tu kama ya bajaj tena bajaji unaweza ata kukopa..
 
Hao wanaosema buku c mawakala wa uber... Mwanzon walikua ivo ili wateja muwe wengii sasa hivi mpo wengi kweli... Maana watanzania mnapenda ganda la ndizi...

Sasa hivi hakuna mnabisha tu... Na sumatra wanakuja maana uber haileweki n Tax au private car.. Ngoja cku itokee ajali Cjui bima gani itawa cover

Mnaongea tu kuipamba uber kumbe yaleyale bora bajaji...

Kama mnabisha fungua app ya uber screenshot tuone bei zake... Msiongee kiboya wanabei tu kama ya bajaj tena bajaji unaweza ata kukopa..
Tunaosema buku mawakala, wewe unaotokwa povu hivi ni nani?
 
Utaona madereva taxi na boda boda na pikipiki watakavyokuja kwa kasi
Waongo... Uber inakuja kufa soon Kwanza haina sumatraa pili wakiwekewa Sumatra bei itapanda tofauti na bajaji... Unajua bajaj ndio cheap ila watu hawajui... Tu

Mfano ukipanda bajj ktk mwendo wa kilometer nne ni Elfu nne na ukijua kuongea na dereva bac utaweza panda chini ya apo... Ishu watu hajajua wanaopanda uber ela zinawatoka sana wana promote tu ila bajaza zipo poa
 
Hao wanaosema buku c mawakala wa uber... Mwanzon walikua ivo ili wateja muwe wengii sasa hivi mpo wengi kweli... Maana watanzania mnapenda ganda la ndizi...

Sasa hivi hakuna mnabisha tu... Na sumatra wanakuja maana uber haileweki n Tax au private car.. Ngoja cku itokee ajali Cjui bima gani itawa cover

Mnaongea tu kuipamba uber kumbe yaleyale bora bajaji...

Kama mnabisha fungua app ya uber screenshot tuone bei zake... Msiongee kiboya wanabei tu kama ya bajaj tena bajaji unaweza ata kukopa..
Bila shaka mkuu utakua unamiliki bajaji na bodaboda, kwa uber itabidi utulie tu tumechoka kupigwa vumbi.
 
Mimi dereva bajaji... Kwa ww nanii...unakata Wakati upo ktk kochi unaangalia TV cc ndo tupo road tunajua bei vzur
 
Mimi dereva bajaji... Kwa ww nanii...unakata Wakati upo ktk kochi unaangalia TV cc ndo tupo road tunajua bei vzur
Bei ipi unayoijua wewe? Leo nimelipa buku sehemu ambayo bajaj ni 3000/- hutaki acha
 
Sasa unabisha kama hawatoi promo... Kutoka apo masai club mpaka ubungo sh ngapi
Mkuu Kingdeeper hakuna aliyebisha.
Kama umemsoma vzuri mleta mada amezungumzia nauli ndogo za Uber kwa safari fupifupi.
Pia wanufaika wanaopewa kipaumbele ni watumiaji wa mara kwa mara wa Uber . Sasa mtu kama kakurupuka leo tu kwa kuwa kasikia promo ni wazi hawezi kukutana mara moja na hilo punguzo.
 
Bei ipi unayoijua wewe? Leo nimelipa buku sehemu ambayo bajaj ni 3000/- hutaki acha
Screenshot iyo route yako... Na bei yake... Mbona mambo mepec tu fungua app yako iweke tuone bei ya elfu tatu na umbali wake shider ipo wap kwan...tuone cc tunajua dhakhama wanazo pata dereva wa uber... Bajaj huwezi kuuwa soko lake... Na sportpesa tena ndo wanazidi kutoa fursa... Kwann wasieke uber
 
Umewahi kuchajiwa 1000 uber mkuu??...Mimi natumiaga Uber but sijawahi kuona hiko kitu tena huwa nakuwa na trip fupi fupi nying...Nakumbuka kiasi kidogo nilicho wahi kulipa kwa Uber ni 6500 kutoka Pale Azam Tv tabat ToT cjui ndio kituo kinaitwa hivyo mpaka Tabat Kimanga.
Bado ni bei nafuu ikilinganishwa na taxi zisizo za Uber
 
Back
Top Bottom