Kuna kipindi wanakuwa kwenye promotion ndo maana charges zinakuwa ndogo sana na kipindi hiki wapo kwenye promo i think leo inaisha......
Mimi mara nyingi natumia sana uber nishapata trip mpaka za 1500 kwaajili ya promotion na juzi hapa nilikuwa sehemu but kila nikiita uber naambiwa hamna mpaka baade ndo nikapata tena ambayo ilikuwa kwenye trip after kuisha ndo ikanifata mimi,nikawa naongea na dereva wa uber akasema kwa siku hiyo madereva wengi walizima data kwasababu ya promotion
Na kweli mimi nilichargiwa elfu 3 nikaamua kumpa 5000