Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,781
.
Je tunaweza kuwa na tafakuri ya yajayo ama kuweka hakiba ya maneno?
Tunaposimama kwenye majukwaa ya siasa na kupayuka ili kufurahisha genge... Kumbuka kuna waandika kumbukumbu wasiochoka, wasioacha hata
Je tunaweza kuwa na tafakuri ya yajayo ama kuweka hakiba ya maneno?
Tunaposimama kwenye majukwaa ya siasa na kupayuka ili kufurahisha genge... Kumbuka kuna waandika kumbukumbu wasiochoka, wasioacha hata
Waandika kumbukumbu wasioacha kitu na damu yenye kiwi cha macho
Wahenga wanasema KILA ENZI NA VITABU VYAKE! Ili kiitwe kitabu lazima kiwe na kurasa tena nyingi na hizo kurasa zisiwe tupu bali ziwe na maandishi ama picha ama michoro au vyote kwa pamoja...na maandishi michoro ama mapicha hayo viwe katika mpangalio wa kuleta maana Fulani... Maana kusudiwa...
www.jamiiforums.com