Ubalozi wa Marekani walaani Padri Kitima kushambuliwa, walaani vitendo vinavyolenga kunyamazisha wito wa haki, maridhiano, na haki za binadamu

Ubalozi wa Marekani walaani Padri Kitima kushambuliwa, walaani vitendo vinavyolenga kunyamazisha wito wa haki, maridhiano, na haki za binadamu

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
snapins-ai_3623541005808498992.jpg


TAMKO LA UBALOZI KUHUSU SHAMBULIO
DHIDI YA PADRI CHARLES KITIMA
Kufuatia shambulio la kushtua na la kikatili dhidi ya Padri Charles Kitima, tunaungana na Watanzania na kutoka kila upande wa kisiasa kumuombea apone kabisa na kulaani vikali vitendo vyote vya ukatili, hasa vile vinavyolenga kunyamazisha wito wa haki, maridhiano, na haki za binadamu. Tunatumaini kuwa Tanzania itautumia wakati huu kutafuta haki kupitia uchunguzi wa haraka na wa wazi

Pia soma
  1. News Alert: - Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya
  2. Polisi: Tunamshikilia Mtu mmoja kutokana na tukio la Padri Kitima kushambuliwa
 
View attachment 3322622

TAMKO LA UBALOZI KUHUSU SHAMBULIO
DHIDI YA PADRI CHARLES KITIMA
Kufuatia shambulio la kushtua na la kikatili dhidi ya Padri Charles Kitima, tunaungana na Watanzania na kutoka kila upande wa kisiasa kumuombea apone kabisa na kulaani vikali vitendo vyote vya ukatili, hasa vile vinavyolenga kunyamazisha wito wa haki, maridhiano, na haki za binadamu. Tunatumaini kuwa Tanzania itautumia wakati huu kutafuta haki kupitia uchunguzi wa haraka na wa wazi

Pia soma
  1. News Alert: - Padri Kitima ashambuliwa na watu wasiojulikana. Inadaiwa hali yake ni mbaya
  2. Polisi: Tunamshikilia Mtu mmoja kutokana na tukio la Padri Kitima kushambuliwa

GpTFqrZXAAECZ-k.jpeg


Tlaa'tlaah, Lucasi, hilo dubwana: mtu hupambani nalo hivi!

Na bado.
 
Baada ya kushambuliwa kwa Katibu wa Baraza la Maaskofu, Padri Charles Kitima, Ubalozi wa Marekani nchini umetoa tamko la kulaani vitendo hivyo.

Katika tamko hilo, Ubalozi umesema:

“Kufuatia shambulio la kushtua na la kikatili dhidi ya Padre Charles Kitima, tunaungana na Watanzania kutoka kila upande wa kisiasa kumuombea apone kabisa na kulaani vikali vitendo vyote vya ukatili, hasa vile vinavyolenga kunyamazisha wito wa haki, maridhiano, na haki za binadamu. Tunatumaini kuwa Tanzania itautumia wakati huu kutafuta haki kupitia uchunguzi wa haraka na wa wazi.”

IMG_4906.jpeg
 
Serikali ya CCM ina upofu na inahitaji kuadabishwa na kila mtanzania mpenda haki
 
Wakosoaji wa serikali Sasa wako ktk hatari ya kupotezwa,kuuawa,kuteswa,kuzibwa midomo watu kwa ukatili huu uovu huu,ni nyakati za utawala kukosa majibu,kwa wananchi.viongozi wetu wanashinda kubwa ,kiburi ,jeuri,kutojali,uhai wa watu,muda utafika kwa udhalimu huu kuondoshwa tu,hakika watakufaaa viongozi mungu amua ugomvi huu wananchi tunapiga,kuonewa na baadhi ya viongozi
 
Back
Top Bottom