muafrika08
JF-Expert Member
- May 22, 2016
- 255
- 104
Masikini!
Ni nchi gani hiyo ya Ulaya ambayo ukiomba makaratasi ya watoto wanawapima DNA?
Halafu, mtoto kuwa wa kwako legally lazima awe biological?
Na ni kwa nini aitwe kwenye ubalozi badala ya ofisi za uhamiaji?
Na kama mke alikuwa amepata visa kasoro watoto, hao watoto walipimwa DNA wakiwa wapi, Mwananyamala Hospital?
Na ni nchi gani ambayo daktari anatoa matokeo ya uchunguzi kwa ubalozi na wewe mwenyewe hutaarifiwi na daktari?
Taja hiyo nchi mzee!
Wote 4 ni maajabu haya....Halafu inauma sana unatumia nguvu na akiba zako zote kuwasaidia watoto kumbe kuna msela huku linatafuna wife kilaini.
Hiyo ni 100% kitu ambacho ni hatari sanaduh watoto wote wanne katoka kapa.,hiyo ni zaidi ya % ya mkemia mkuu
thanks.Ni karibu nchi zote za ulaya, ukiomba residence permit ya watoto uliyowaacha bongo wanachukua DNA test, kuzuia child trafficking.
Baba naniii ashukuru sana sijamchomekea... ila nyie vile tu hamna uwezo wa. kubeba mimba case zenu zingekua kubwa zaidi... pole kwa jamaa
Ha ha ha ha ha mmh nyie mkiwakataa huwa mnaishije kwaniMtu sijui unawezaje kuishi na dhambi kubwa kiasi hiki..Na unakuta mtu yupo happy tu..Hana hata wasiwasi wala hajishtukii
Mmmmm but nackiaga et most of the time hizo DNA results huwa znakuja negative hata kama mtt ni kazaliwa na huyo mzazi.....
Inaeza kua factor ya weather etc...(cna uhakika)...