Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,738
Ha ha ha ha ha ha ha TEAM ROHO MBAYAGelofriend Evelyn Salt, njoo tu
Ha ha ha ha ha ha ha TEAM ROHO MBAYAGelofriend Evelyn Salt, njoo tu
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] , ila kuna muda wanatiaga huruma jamaniHa ha ha ha ha ha ha TEAM ROHO MBAYA
Aaiiiii[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] , ila kuna muda wanatiaga huruma jamani
Unajikuta hujafanana na yeyote mkuu.Najiangalia hapa nimefanana na nani
Moyo wa mwanamke ni wenye huruma sananashindwa elewa moyo wa mwanamke ni katili au mwenyehuruma
Kwa kua ni mvuvi kama baba na nna dushe kama yeye najua ni wa kwake hakuibiwa goma...Unajikuta hujafanana na yeyote mkuu.
Teh teh..Kukataa mimba lakini saa nyingine kunakuwa na sababu..Mana nyie sometimes uwa mnatafuta mtu wa kumuangushia mzigo hata kama haumuhusu..Ha ha ha ha ha mmh nyie mkiwakataa huwa mnaishije kwani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hapa ndio huwa inafikia mtu kujuta kuowa ,nashkuru sana mitoto yangu huhitaji DNA ila kuna kimoja bado kama sina uhakika,lakini haina shaka mtoto mtoto tu
Unaama ,kabila= ukooMimi nilipokuwa mdogo ami yangu (kaka yake baba yangu) alinita na kuniangalia kidole cha Gumba. akasema wewe kweli mtoto wa ndugu yangu akasema kabila yetu wote lazima kidole gumba kiwe kama hivi. akanionesha chake kipo sawa na changu na kaka zangu na baba yetu sote vimefanana na kila akija mtu wa kabila yetu ni kweli vimefanana. hii ni alama kubwa mpaka sasa ndio natumia.
Hata kidogokweli wanawake sio ndugu zetu
Umefikilia kwa kina kweli kweli. AsanteSijui hua wanafikiria nini na wengine bila hata AIBU anasema nimezaa na jamaa mwengine bila kujua ipo siku ita yatafichuka na hapo inakua hata shilingi yakuanzia maisha huna na umetupiwa watoto uwezo wakulea huna,na maisha uliozowesha watoto ni ya ajabu ajabu hata kwa mtu huwezi kumuachia...
Wakati unapiga unakua hujui kuna kuangushiwa mzigo? Ha ha haTeh teh..Kukataa mimba lakini saa nyingine kunakuwa na sababu..Mana nyie sometimes uwa mnatafuta mtu wa kumuangushia mzigo hata kama haumuhusu..
Si kweli, na ulivyosema "most of the time" ndo umekosea kabisa. Hizi DNA tests hua haziko wrong, haiwezekani human error ikaleta matokeo tofauti kwa watoto wote wanne.Mmmmm but nackiaga et most of the time hizo DNA results huwa znakuja negative hata kama mtt ni kazaliwa na huyo mzazi.....
Inaeza kua factor ya weather etc...(cna uhakika)...