miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Mapenz ni hisia ukisharibu mwanzo ni kuchubuana tuItalowa huko huko game ikichanganya
Mapenz ni hisia ukisharibu mwanzo ni kuchubuana tuItalowa huko huko game ikichanganya
Ebu acha kujitoa ufahamu. Kabla ya kufanya mapenzi na mwanamke anatakiwa aridhie tendo hilo hata kama umemuoa. Kuna baadhi ya wanaume wanawalazimisha hata kama siku hiyo mke wake hajisikii, matokeo yake ni kumsababishia maumivu. Acha ushabiki
Mapenz ni hisia ukisharibu mwanzo ni kuchubuana tu
Ni kweli wanakoma hisia na wengi kama hawajajiandaa kisaikolojia huwa wanahasira sana... kwa sababu wakat mwanamke anspata monopose wanaume huwa kama wanabalehe wanakuwa na mihemko mikubwa ya kufanya hapo sasa mwanamke anapobakwa... ila kama akiruhusu mwanaume awe na mchepuko... ndiyo pale wababa wa fifty na mabinti .. nisitoe mengi zaidi.ngumi zikaanza
Namkumbuka Mwalimu wangu wa Geography Mr Kingwalla wa BWHS.....alikuwa ananambia hawa wanaharakati wanapelekeshwa na matumbo yao tuu...
Utakuta janaume shababi limekaza mishipa ya shingo, mate yanaruka kila kona " ooh haki za wanawake" Kwani hao wanawake walikaa kikao wakawatuma?
Tatizo tumboo, maslahi....ukiwafuatisha ndo unaharibu ndoa.....
Ni kweli hata mimi huwa nashangaa eti mwanaume utakuta anatumia nguvu nyingi kupiga kelele eti haki za wanawake na kukemea eti mfumo dume. Sijui nani huwatuma! au ni wale mabwabwa?? maana kizazi cha sasa mabwabwa yanaongezeka kwa kasi
Usishangae atoto ndo dunia ya leo, kumlea mtoto wa kiume kazi kuliko wa kike kwa sasa. Zamani ilikuwa kazi kumlea wa kike
wazungu wangese sana labda kwa sababu wao hawalipi mahari huku unajikwina unatoa mahari halafu usiku agomee shenzzz kwani umesikia naogopa kulala peke yangu hadi nije nikuchukue kwenu na kukuweka kwangu huu ni upuuzi
Hii kitu ndo waga naisema kila mara napochangia humu JF. Utakuta mwanamke kampenda mwanaume kwa sababu huyo meanaume either anayo pesa ambayo ndio imemvutia huyo mwanamke kwa kuamini kuwa akiolewa na mwanamme mwenye fedha basi ataweza kufurahia maisha, sasa basi anapoingia kwenye ndoa kwa ajili ya hvyo vitu na akavipata kama alivyotarajia sasa unakuja muda ambao mapenzi yanatakiwa kuchukua nafasi yake.. Hapo ndio ugomvi unaanzia kwa sababu hakumridhia huyo mwanaume kwa moyo wake bali kwa sababu tu ya mali. Matokeo yake unapofika muda wa kubanjuana mwanamke anajikuta hana ile hamu ya kufanya tendo la ndoa na anamuona jamaa kama sokwe frani hivi sasa kinachofata hapo kwa mwanaume ni kulazimisha apewe haki yake na hapo ndo ugomvi na mwanamke kujiona kama anabakwa vile. So, jamani ni muhimu sana kuoa au kuolewa na yule unaye mrihia katika moyo wako hata kama hana magari au fedha nyingi.
kwa mujibu wa ubongo wako
Sipati picha umebaka wangapi!
Ni kweli hata mimi huwa nashangaa eti mwanaume utakuta anatumia nguvu nyingi kupiga kelele eti haki za wanawake na kukemea eti mfumo dume. Sijui nani huwatuma! au ni wale mabwabwa?? maana kizazi cha sasa mabwabwa yanaongezeka kwa kasi
afadhali mnalitambua hilo, ila kwani mwanaume akimtetea mwanamke basi yeye ni bwabwa???!!!!
Wao wakitaka alf uwaambie sbiri kidogo nimalizie kuchat,wanatuita wanaume suruali
Nani wa maana ku chat nae zaidi yangu for you to delay my "rights"?!
Mimi wangu ujanitomasa hapati hata isimame mpaka itake kuvunjika
Just because umenilipia mahali ndo unifanye unavotaka?!, puh! Leez!
eti subiri nimalize kuchat!!! khaaa ndio shida ya kudate watoto