Ubakaji ndani ya ndoa umeongezeka - LHRC

Ubakaji ndani ya ndoa umeongezeka - LHRC

Hahahaaa ukute wakifika kwa waume zao wanaachia bila kipimo....

hahaaa! kwahiyo wao hawabakwi? au nao ni victims pia wa huu ubakaji mayb ndio maana wanaongea kwa uhakika!
 
hahaaa! kwahiyo wao hawabakwi? au nao ni victims pia wa huu ubakaji mayb ndio maana wanaongea kwa uhakika!

Labda na wao Wanabakwaa...ila wanaanzaje kwenda kuripoti Polisi....hii ndo nani amfunge paka kengele.....
 
Wengi wanaodai kubakwa ndani ya ndoa tayari walishaharibu ndoa zao ni wanaharakati ambao wanapandikiza chuki kwa wenzao nao waribikiwe ila watashindwa tu huku ni Afrika bana ati unfungua kesi ya rape kwenye ndoa, ni mwanmke mtata tu atafanya ivyo, kama ile sheria ya kukonyeza ,,!kwa waSio na ndoa tu
 
Labda na wao Wanabakwaa...ila wanaanzaje kwenda kuripoti Polisi....hii ndo nani amfunge paka kengele.....

umeona eeeh!! hv unaanzaje kwenda kushtaki eti umebakwa na mume!!! hahaaa kwanza hiyo aibu duuh!! wanaishia kusimuliana tu kwenye vikao vya umbea
 
Wengi wanaodai kubakwa ndani ya ndoa tayari walishaharibu ndoa zao ni wanaharakati ambao wanapandikiza chuki kwa wenzao nao waribikiwe ila watashindwa tu huku ni Afrika bana ati unfungua kesi ya rape kwenye ndoa, ni mwanmke mtata tu atafanya ivyo, kama ile sheria ya kukonyeza ,,!kwa waSio na ndoa tu

Ni kweli kabisa mkuu, ukiona mwanamke anashtaki eti kabakwa na mumewe ujue 1. Hampendi mumewe anaishi naye basi tu. 2. Ana mtu nje anaye date naye(mchepuko). Vinginevyo huwezi mshtaki mumeo ulokula naye kiapo kanisani au msikitini
 
aaah sanaaa, washaniogopesha mie, kumbe kuna kubakwa huko!!!!

Hahahaaaaaaaaa, usiogope sana best. Ujue hawa jamaa inawezekana hawataki watu wafunge pingu wawe kama wao. Sasa wanawaogopesha
 
Matapeli wanajiita wanaharakati,hawa akina mama wako na Kibonde huko nje si bure ..wamejisahau kuwa hawako Afrika kwa Le Profeseri
 
Mi nakubaliana nao kweli ubakaji ni mkubwa huko kuna wale wanawake wanapata monopose mapema wale wanabakwa hawana hisia.... kuna mijianaume ikifika chumbani inarukia papuchi hata haijaloa mtu kashasimika mdudu

Italowa huko huko game ikichanganya
 
Sasa siumfundishe. Tatizolenu mnajifanya mnaaibu kumwelekeza mwanaume unavyotaka sasa ukikutana na ligegedu lisilojua kukuandaa ndioutakoma.

Mimi wangu ujanitomasa hapati hata isimame mpaka itake kuvunjika
 
Hivi mwanamke akifikia monopose anakoma kupata hisia eeeh. Hili sikulijua kabla, au limekaaje. Hebu wana biolojia tupeni ufafanuzi juu ya hili

Ni kweli wanakoma hisia na wengi kama hawajajiandaa kisaikolojia huwa wanahasira sana... kwa sababu wakat mwanamke anspata monopose wanaume huwa kama wanabalehe wanakuwa na mihemko mikubwa ya kufanya hapo sasa mwanamke anapobakwa... ila kama akiruhusu mwanaume awe na mchepuko... ndiyo pale wababa wa fifty na mabinti .. nisitoe mengi zaidi.ngumi zikaanza
 
Khaswaaa, ila huku wanapiga domo ilimradi mkono uende kinywani na watoto waruke kamba

Namkumbuka Mwalimu wangu wa Geography Mr Kingwalla wa BWHS.....alikuwa ananambia hawa wanaharakati wanapelekeshwa na matumbo yao tuu...
Utakuta janaume shababi limekaza mishipa ya shingo, mate yanaruka kila kona " ooh haki za wanawake" Kwani hao wanawake walikaa kikao wakawatuma?

Tatizo tumboo, maslahi....ukiwafuatisha ndo unaharibu ndoa.....
 
Back
Top Bottom