ubakaji upo sana aisee, ili mwanamke aridhie kuna maandalizi ya awali kumfanya awe tayari kwa tukio, ila wanaume wengine hasa wale walevi ni balaa tupu, (rara hapo nikurenge)
kamusi ya Tuki mwaka 2011:
kubaka;- kufanya mapenzi na mtu bila ridhaa yake.
inaweza kuwa kweli maana sio muda wote mtakutana na hisia sawa za kufanya mapenzi, anaweza kufanya kukuridhisha tu ila haikua ridhaa yake!!!
Hapa utakuwa unachanganya mambo....
Jiulize ni wakati gani anaridhia..swala la kumuandaa linakuja baada ya kuridhia
Kwenye ndoA kuna KULAZISHANA,nje ya ndoa kuna KUBAKANA
kwa mujibu wa ubongo wakohuo wote ni ubakaji tu
Ni kweli kabisa. Raping ipo sana katika ndoa zetu na hili halitakwisha kama haijaja sheria ya kurekebisha hizi customary laws za mwanamke kuwa chini ya mwanamme na kutumika kama chombo cha starehe kwasababu tu ulimlipia mahari.
Ifike mahali muielimishe jamii juu ya mahari faida na hasara zake na yakionekana ndio chanzo yapigwe marufuku kama ulivyopingwa ukeketaji.
Ni vema wanandoa wakapata elimu juu ya ndoa badala ya kitchen party ya upande mmoja tu.
Mkeo....sipati picha anavyokimbilia polisi pichu mkononi....." mume wangu kanibakaaaa"
Ishhh......
aibu utaona wewe
sijaoa bado kama miaka sita mbele ndio nitaoa
Basi we ni mbakaji mtarajiwa...manake ule mkwara uliopiga...aibu naona mie.....
kuna muda anaridhia tu ili akuridhishe kishingo upande, nawe wamrukia tu bila kumuandaa, umembaka pia