watuondolee uzungu wao hapa.Mzima wa afya,hayupo kwenye cku zake,alafu aninyime nipige nyeto?
Aiseee! Sasa, ni wakati gani mume na mke wajamiiane ili isionekane kuwa mwanamke kabakwa au kafanywa chombo cha starehe?
Aiseee! Sasa, ni wakati gani mume na mke wajamiiane ili isionekane kuwa mwanamke kabakwa au kafanywa chombo cha starehe?
kwanza, is a matter of understanding each other. Pia, ni pale utakapojenga mfumo wa maridhiano ya pande zote kwa maana ya kuandaana pale upande mmoja unapo-demand na sio kuviziana. Tengeneza desire kwake till she/he reach arousal then mengine yatafuata and not otherwise eti unaninyima kwanini.
Mazingira nayo ni muhimu hasa ukizingatia mood ya anayetakiwa whether mke au mume. Pia kuwepo na hali ya utulivu wa akili kwa upande unaohitajiwa. Kumbuka mke/mme siyo sehemu ya kuondolea stress zako. Epuka ulevi ambao huvuruga mpangilio wako mzuri.
Jamani nimewaangalia wanaharakati wa haki za binadamu wakiadhimisha harakati zao wamesema kwamba unyanyasaji dhidi ya wanawake na ndoa za utotoni. Kilichoniacha hoi mimi, ni pale waliposema suala la ubakaji ni kubwa ndani ya ndoa kuliko hata ubakaji wa kawaida.
Hii imenishangaza kidogo, hivi watu waliooana wanabakana!!! How? Kama ni hivyo imekuwaje wameoana sasa kama bado wanabakana, yaani wanamaanisha mwanamke kubakwa na mwanamme. Hebu tujadili pamoja. Hii hoja ni kweli? Na imekaaje
Karibuni
Source: Habari ITV
wao wako kikazi zaidi wanaongea hivyo ili mwisho wa mwezi pesa iingie mfukoni sasa kama na ukitaka kuwafuata shaur yako
Hee kumbe mbakaji? Aibu naona mie sasa.....
Kama ni kweli tamko hilo limetolewa na LHRC kama mleta uzi alivyoandika,basi LHRC watakuwa wameporomoka sana kisheria.
Kwa mujibu wa Sheria za Tanzania hakuna jinai au kosa la kisheria linaloitwa ubakaji ndani ya ndoa (Marrital Rape ) baina ya wanandoa.Ubakaji ndani ya ndoa unato
ni pale tu uwepo wa maridhiano ya pande zote mbili yatakapokuwepo kwa kiwango cha kuridhisha. Yaani mhitaji ambeleze mwenzie ikiwa ni pamoja na kuandaa mazingira yatakayomshawishi kuridhia tendo hilo. Yaani awe willing ili aweze kuiamsha desire yake then arousal.
Wote tukijengana hivi ubakaji hautokuwepo.
kamusi ya Tuki mwaka 2011:
kubaka;- kufanya mapenzi na mtu bila ridhaa yake.
inaweza kuwa kweli maana sio muda wote mtakutana na hisia sawa za kufanya mapenzi, anaweza kufanya kukuridhisha tu ila haikua ridhaa yake!!!
nambaka nani ??