Ubakaji ndani ya ndoa umeongezeka - LHRC

Ubakaji ndani ya ndoa umeongezeka - LHRC

Hivi hatakama nimembaka tukiwachumbani usiku natupowawilitu naniatakuwa shahidiyake kwamba nilimwingilia bilaridhaayake.
 
Mie siku zote napenda niwaulize ndugu zangu kwa maswali ma3 tu 1.Viongozi wa juu wa hawa wanawake wanaharakati kuna hata mmoja aliye na ndoa yake? 2.Wanapingana na Bible inayosema mwanamke atatawaliwa na mmewe na tamaa zake daima juu ya mmewe? 3.wao wanapewa na nani mamlaka kuingilia na kupeleleza habari za ndani za wanandoa wakati mambo ya ndani ya ndoa yanabaki ni mambo ya ndani,kuzipeleleza na kuanika nje mambo ya ndani ya ndoa za wanandoa wanalenga nini? ..sasa nilishasema kama wanaona wanapinga ama hawataki suala la ndoa liwepo kwasababu za kwao zilishawashinda wawe huru,waseme kuliko kuanza kuchunguza mambo ya ndani ya viapo vya watu,wakumbuke hawana la kufanya na ndoa kwani ndoa ni mamlaka toka mbinguni na iko kidini zaidi,si mamlaka ya mtu na wala ya wanaharakati ..they should observe their boundaries on this sacred matter.
 
Mi nakubaliana nao kweli ubakaji ni mkubwa huko kuna wale wanawake wanapata monopose mapema wale wanabakwa hawana hisia.... kuna mijianaume ikifika chumbani inarukia papuchi hata haijaloa mtu kashasimika mdudu

Sasa siumfundishe. Tatizolenu mnajifanya mnaaibu kumwelekeza mwanaume unavyotaka sasa ukikutana na ligegedu lisilojua kukuandaa ndioutakoma.
 
Sasa kama haijaloa si achukue maji ailoweshe..au ni kazi ya mwanaume kuilowesha.
 
Mie siku zote napenda niwaulize ndugu zangu kwa maswali ma3 tu 1.Viongozi wa juu wa hawa wanawake wanaharakati kuna hata mmoja aliye na ndoa yake? 2.Wanapingana na Bible inayosema mwanamke atatawaliwa na mmewe na tamaa zake daima juu ya mmewe? 3.wao wanapewa na nani mamlaka kuingilia na kupeleleza habari za ndani za wanandoa wakati mambo ya ndani ya ndoa yanabaki ni mambo ya ndani,kuzipeleleza na kuanika nje mambo ya ndani ya ndoa za wanandoa wanalenga nini? ..sasa nilishasema kama wanaona wanapinga ama hawataki suala la ndoa liwepo kwasababu za kwao zilishawashinda wawe huru,waseme kuliko kuanza kuchunguza mambo ya ndani ya viapo vya watu,wakumbuke hawana la kufanya na ndoa kwani ndoa ni mamlaka toka mbinguni na iko kidini zaidi,si mamlaka ya mtu na wala ya wanaharakati ..they should observe their boundaries on this sacred matter.

Mkuu umeongea kwa hisia sana, lakini hata mimi huwa na wasiwasi kama hawa wameolewa au ni bachelor sasa wanataka na wenzao wawe single kama wao
 
Kubalianeni. Na ndo chanzo cha kuchepuka. Ila sometimes ukisema uvumilie je yeye atakuonaje?
 
ubakaji upo sana aisee, ili mwanamke aridhie kuna maandalizi ya awali kumfanya awe tayari kwa tukio, ila wanaume wengine hasa wale walevi ni balaa tupu, (rara hapo nikurenge)

Hahahaaaaaaaa, mkurya nini huyo!
 
Mi nakubaliana nao kweli ubakaji ni mkubwa huko kuna wale wanawake wanapata monopose mapema wale wanabakwa hawana hisia.... kuna mijianaume ikifika chumbani inarukia papuchi hata haijaloa mtu kashasimika mdudu

Hivi mwanamke akifikia monopose anakoma kupata hisia eeeh. Hili sikulijua kabla, au limekaaje. Hebu wana biolojia tupeni ufafanuzi juu ya hili
 
Wao wakitaka alf uwaambie sbiri kidogo nimalizie kuchat,wanatuita wanaume suruali
 
hahahaaaa!! i never expected this, cjaolewa mie, na hapo wanazungumzia ubakaji wa kwenye ndoa, so nikiolewa takujibu

Haya jamani ambao hamjaoa, kitu na box hicho
 
Back
Top Bottom