Vi rendra
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 3,258
- 5,571
Pamoja na kujinyenyekeza ila hatuna nguvu ya hoja na msukumo Kama wachaga kwakweliumenichekesha sana
Pamoja na kujinyenyekeza ila hatuna nguvu ya hoja na msukumo Kama wachaga kwakweliumenichekesha sana
Maisha ni kupambana na kufanya lobbying kuanzia kutafta hela Hadi kwenye mapenzi Sasa mtu ukifanya hayo Kuna shida gani kumteka hata huyo mwanaume jamani.Pamoja na kujinyenyekeza ila hatuna nguvu ya hoja na msukumo Kama wachaga kwakweli
Kwahiyo sisi wengine hatupambani?mkuuMaisha ni kupambana na kufanya lobbying kuanzia kutafta hela Hadi kwenye mapenzi Sasa mtu ukifanya hayo Kuna shida gani kumteka hata huyo mwanaume jamani.
Ndio maana msishangae wanaolewa wengi zaidikwakweli hao wanaowafundisha wanajiweza
kwaweli wengine hatuna hata skill moja
Sawa mkuuNdio maana msishangae wanaolewa wengi zaidi
Mchaga akitaka lake atafanikisha katika namna yeyote ile...Inshort wanajua ku trick ubongo wa mwanaume ili wateke hisia zake kirahisi na kumfanya atekeleze yote wanyotaka. Hilo la ndoa ni dogo mno ndio ile unasikia bwana mchumba wangu yuko freshi sana ila hapo kabla hajavaa shela akishavaa tu maisha ya pamoja yakaanza hamna rangi utaacha kuona.
Aunt yangu ni mwana socialogy na mtu wa gender anawajua vyema huwa ananisimuliaga tabia zao hao watu. Anasema ni toka kwao wanapewaga maelekezo jinsi ya kum treat mwanaume ili aingie kwenye 18. Wana uwezo hata wa kupora wanaume za watu. Hizo ni skills ambazo wanawake wengine hawana.
Ndio maana msishangae wanaolewa wengi zaidi
Hayo ni mambo ya kizamani ambayo kwasasa wala hayana ukweli wowote na wamachame wengi tu wamezaliwa nje ya huko machame.Hivi huu ubaguzi wa makabila bado upo hadi leo?
Nimekutana hii clip ya baba akimuonya mwanae asimpeleke mchumba wake wa Machame kwake, toka siku nyingi nasikia tu Usioe wa Machame, wana Jf wachagga mtusaidie, wanawake wa machame waliwafanya nini wanaume wengine wa kichagga?! Mshana Jr hebu tusaidie.
Hasa WaislamOngelea na ubaguzi wa kidini basi
Nilichukia yle uzi kufutwaWanasema yaani hilo ni bomu na limeshaanza kulipuka
Hayo ni mambo ya kizamani ambayo kwasasa wala hayana ukweli wowote na wamachame wengi tu wamezaliwa nje ya huko machame.
Kwanza Mimi nahitaji kuoa seriously, na natamani kuoa Binti wa kimachame.
Nilichukia yle uzi kufutwa
Yaan mimi kiukweli bora hata mmachame kuliko mmarangu. Yaan wamarangu ni changamoto sana
Aongolee na ubaguzi wa sehemu ya kugombea... Kila mmoja anarudi kwao kugombea..!!!Ongelea na ubaguzi wa kidini basi
Ila globally wanaume hufa mapema Sana kuliko wanawake, wanaume wanapitia mengi
Bwana wewe duniani hata Tanzania wanaume hutangulia kufa mapema bila kujali kabila. Wanawake wengi ni wajane nenda sehemu yoyote Ile wamebaki wanawake Sana tu. So hyo ya kusema kuua napinga kabisa ingekuwa Tanzania tu ningeamini Ila hata duniani Hali ni hyo hyo tu.Hiyo ni very minor factor, wachaga au wamachame hasa hasa.! Mwanzo nikimaanisha miaka ya nyuma 90s and 2000s kumekuwepo na Case nyingi sana za wanaume waliokuwa wameoa wamachame walikuwa wanafariki mapema sana hasa hasa wale ambao wana ukwasi.
bado Nakuona uu kijana kuoa mkuu sio kutafuta papuchi ,unatafuta MTU utakayekuja kumpanda kwenye Uko wenu aote mkuu awe na wa kwenu mazima na akifa kumbuka anazikwa kwenye ardhi ya nyumbani kwenu ila sio kama ndugu zangu Fulani wanapeleka mwanamke kwao alitoka kuzikaKijana oa popote ilimradi upate papuchi inayokufaa
Ngoja nielezee kidogo..Jiwe gizani, hebu chimbua kidogo bwashee!
Mnaogopa kuuliwa utadhani wote mtakuwa matajiri!
2007