Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,328
Akihutubia wananchi wa Kongwa wanaogoma kuondolewa kwenye maeneo yao kwa nguvu ili kupisha wawekezaji Job Ndugai ameonyesha dhahiri kuwa kuna kauli za ukanda za kuwabagua wana Kongwa zilizotolewa na aliye kuwa mkuu wa wilaya ambaye ni mmasai.
"... huyo bwana ametoa kauli huku akisahau kuwa naye ni mmasai"
Chanzo: ITV habari.
My take.
Haya ni maumivu ya ubaguzi wa dhahiri kama jinsi chama chake kilivyo kuwa kinaeneza propaganda za ukanda na udini ambazo zinaendelea kulitesa taifa.
CCM ikiwazwa sana na mtu mwenye akili nzuri ataishia kuwaona viongozi na mashabiki wake kuwa niwa jinga wa kupuuzwa.
kwa nini
Tangu Tanzania ipate uhuru karibu mawaziri wakuu 4 wametokea Kaskazini lakini hili halija wahi kuwa tatizo kwetu watanzania.
1. Edward Moringe
2. Cleopa Msuya
3. Fredrick Sumaye
4. Lowassa (aliyejiuzuru kwa kashfa ya rushwa).
Hao wote ni kutoka kaskazini lakini kwa kuwa shida yetu haikuwa kujadili watu wala maeneo wanayotoka bali uwezo, hakuja wahi kuwa na kelele za ukanda kwa upande wa wananchi.
Wakati huohuo, ukiacha takwimu za nyuma kabisa, baraza la mawaziri la kwanza la utawala wa raisi wa sasa (jk) ambapo kauli za ukanda zimeshamiri kwa kasi lilikuwa na manaibu na mawaziri kutoka Kaskazini 21. Wengi kutoka kanda yoyote. lakini bado wakisimama kwenye mimbari za kisiasa utasikia chadema ni chama cha ukanda!
chadema wanachosema kuwa nicha ukanda uongozi wake wa juu kabla ya MM na mzee Said Arfi kujiuzuru ulikuwaje?
1. Mh Mbowe (Mwemyekiti) - Kanda ya Kaskazini, Hai K'Njaro
2. Said Arfi (Aliyekuwa makamu mwenyekiti bara) - Kanda ya Magharibi, Mpanda.
3. Dr Slaa (Katibu) - Kaskazini, Karatu
4. Zitto Kabwe (Naibu katibu) - Kanda ya Magharibi, Kigoma.
Makamu mwenyekiti na Naibu katibu Zanzibar mmoja kanda ya Unguja na mwingine kanda ya Pemba.
Huo ukanda wanao ughani CCM na mashabiki wao wenye ukame wa maono kila siku kuhusu ukanda wa chadema ni upi?
Mbona huwa hawasemi kuwa chadema ni chama cha kanda ya magharibi wakati nafasi za uongozi zina uwiano sawa?!
Angalizo.
Ukisikia watu wa ccm wanaghani ukaskazini jua kuwa hawamaanishi Tanga, Arusha, wala Manyara bali wanaendeleza chuki za kijinga na kipuuzi dhidi ya Wachaga.
CCM wametuletea ugonjwa mbaya wa ubaguzi ambao Mwl Nyerere aliukemea kwa sauti yenye mwagwi mkali.
"... huyo bwana ametoa kauli huku akisahau kuwa naye ni mmasai"
Chanzo: ITV habari.
My take.
Haya ni maumivu ya ubaguzi wa dhahiri kama jinsi chama chake kilivyo kuwa kinaeneza propaganda za ukanda na udini ambazo zinaendelea kulitesa taifa.
CCM ikiwazwa sana na mtu mwenye akili nzuri ataishia kuwaona viongozi na mashabiki wake kuwa niwa jinga wa kupuuzwa.
kwa nini
Tangu Tanzania ipate uhuru karibu mawaziri wakuu 4 wametokea Kaskazini lakini hili halija wahi kuwa tatizo kwetu watanzania.
1. Edward Moringe
2. Cleopa Msuya
3. Fredrick Sumaye
4. Lowassa (aliyejiuzuru kwa kashfa ya rushwa).
Hao wote ni kutoka kaskazini lakini kwa kuwa shida yetu haikuwa kujadili watu wala maeneo wanayotoka bali uwezo, hakuja wahi kuwa na kelele za ukanda kwa upande wa wananchi.
Wakati huohuo, ukiacha takwimu za nyuma kabisa, baraza la mawaziri la kwanza la utawala wa raisi wa sasa (jk) ambapo kauli za ukanda zimeshamiri kwa kasi lilikuwa na manaibu na mawaziri kutoka Kaskazini 21. Wengi kutoka kanda yoyote. lakini bado wakisimama kwenye mimbari za kisiasa utasikia chadema ni chama cha ukanda!
chadema wanachosema kuwa nicha ukanda uongozi wake wa juu kabla ya MM na mzee Said Arfi kujiuzuru ulikuwaje?
1. Mh Mbowe (Mwemyekiti) - Kanda ya Kaskazini, Hai K'Njaro
2. Said Arfi (Aliyekuwa makamu mwenyekiti bara) - Kanda ya Magharibi, Mpanda.
3. Dr Slaa (Katibu) - Kaskazini, Karatu
4. Zitto Kabwe (Naibu katibu) - Kanda ya Magharibi, Kigoma.
Makamu mwenyekiti na Naibu katibu Zanzibar mmoja kanda ya Unguja na mwingine kanda ya Pemba.
Huo ukanda wanao ughani CCM na mashabiki wao wenye ukame wa maono kila siku kuhusu ukanda wa chadema ni upi?
Mbona huwa hawasemi kuwa chadema ni chama cha kanda ya magharibi wakati nafasi za uongozi zina uwiano sawa?!
Angalizo.
Ukisikia watu wa ccm wanaghani ukaskazini jua kuwa hawamaanishi Tanga, Arusha, wala Manyara bali wanaendeleza chuki za kijinga na kipuuzi dhidi ya Wachaga.
CCM wametuletea ugonjwa mbaya wa ubaguzi ambao Mwl Nyerere aliukemea kwa sauti yenye mwagwi mkali.