Ubaguzi wa kikanda waanza kuitesa CCM

Status
Not open for further replies.
Mohamedi Mtoi, hivi ilikuaje mtoto wa Ndensamburo na mkwe wake wote wakapewa ubunge?

Ilikuaje mwanamke aliyezaa na Dr.Slaa kutoka CCM na kupewa ubunge?

Ilikuaje dada yake Lissu naye apewe ubunge?

Ilikuaje komu naye apewe ubunge?
 
Last edited by a moderator:
Wewe juha kweli utaendelea kuwa msukule wa Dr Slaa, hauwezi kutetea ukanda na udini uliyopo Chadema hivi umeishajiuliza kwa nini Said Arfi kajiuzulu Chadema kama siyo udini na ukanda.

Ulivyokuwa kauzu umeona aibu kumtaja John Mnyika Mpare kutoka Kaskazini.

Wewe Chadema ni msukule tu ukitaka kujipima jaribu kugombea nafasi na mchaga uone utakavyofukuzwa kama mbwa.

Wewe kweli akili ziko matak.oni yaani hufahamu Mnyika J ni kabila gani? Kwa taarifa yako Mnyika ni Msukuma toka kanda ya ziwa. Kumbe ccm akili zenu za ajabu ajabu tu,mnabisha kwa uzoefu na kuongea ongea vitu msivyovijua,pumbafu kabisa.
 
Mohamedi Mtoi, hivi ilikuaje mtoto wa Ndensamburo na mkwe wake wote wakapewa ubunge?

Ilikuaje mwanamke aliyezaa na Dr.Slaa kutoka CCM na kupewa ubunge?

Ilikuaje dada yake Lissu naye apewe ubunge?

Ilikuaje komu naye apewe ubunge?

Ilikuwaje vick kamata kapewa ubunge then mjomba wake vick kamata kapewa ukuu wa mkoa!!!! Ilikuwaje Ritz
 
Last edited by a moderator:
Hivi linaitaji kuwa na elimu ya chuo kikuu kudadavua kuwa Chadema ni chama cha kikanda na udini, hao wakurugezi watano wote ni Wakirsto unadhani ili limekuja kwa bahati mbaya.
Hao ndio Secretariat ya Chadema, taja Secretariat ya CCM......kama unataka Tumaini kuwa hakuna kitu cha bahati mbaya,,,,,ama nikutajie?
 
Wewe kweli akili ziko matak.oni yaani hufahamu Mnyika J ni kabila gani? Kwa taarifa yako Mnyika ni Msukuma toka kanda ya ziwa. Kumbe ccm akili zenu za ajabu ajabu tu,mnabisha kwa uzoefu na kuongea ongea vitu msivyovijua,pumbafu kabisa.
Wewe andika upendavyo lakini hauwezi kubadili kitu unahangaika tu sawa na kupiga ngumi hewani, toka lini mtu akafuata kabila ya mama, Mnyika ni Mpare kama hautaki jinyonge.
 
Wewe juha kweli utaendelea kuwa msukule wa Dr Slaa, hauwezi kutetea ukanda na udini uliyopo Chadema hivi umeishajiuliza kwa nini Said Arfi kajiuzulu Chadema kama siyo udini na ukanda.

Ulivyokuwa kauzu umeona aibu kumtaja John Mnyika Mpare kutoka Kaskazini.

Wewe Chadema ni msukule tu ukitaka kujipima jaribu kugombea nafasi na mchaga uone utakavyofukuzwa kama mbwa.
Wewe , taja Secretariat ya CCM , THEN TUENDELEE NA MJADALA, TAJA MIKOA YAO NA DINI ZAO.
 
Ameona wanoshughulikiwa na kushikishwa adabu ni watu ambao si wachagga na hususan wa kanda ya ziwa vile:
- Amani Kabouru,
- Chacha Wangwe,
- Zitto Kabwe,
- Samson Mwigamba,
- Dr. Kitila Mkumbo,
- John Shibuda,
- Mkosamali,
- Shitalamba
- Kafulila,
- Machege nk.
- Mtela Mwampamba
- Juliana Shonza
Lazima ajiulize kuna nini hapo?
 
Secretariat ya CCM KWA MIKOA NA DINI ZAO.

1. Abdulrahman Kinana ......Arusha.....Muislamu
2. Vuai Ali ..........Unguja......Muislamu
3. Mwigulu Nchemba.......Singida......Mkristo
4. Asha Migiro.....Kilimanjaro......Muislamu
5.Zakhia Megji .....Kilimanjaro ......Muislamu
6. Seif Khatibu .....Unguja.....Muislamu
7. Nnape NNAUYE...Mbeya!!!!!kusini!!!!!sina uhakika........Muislamu ....

Ritz......aka .....mawasiliano .......jengo hoja sasa .....ya Ukanda, udini kwa CCM .....
 
Wewe andika upendavyo lakini hauwezi kubadili kitu unahangaika tu sawa na kupiga ngumi hewani, toka lini mtu akafuata kabila ya mama, Mnyika ni Mpare kama hautaki jinyonge.
Kama uanakiri kuwa mtoto hufuata Kabila ya baba , Mnyika ni Msukuma wa Misungwi Mwanza , baba yake aliwahi kufanya kazi upare miaka ya huko nyuma , ndio maana a kapewa jina la Mnyika yaani mtu wa kuja .......
 
Secretariat ya CCM KWA MIKOA NA DINI ZAO.

1. Abdulrahman Kinana ......Arusha.....Muislamu
2. Vuai Ali ..........Unguja......Muislamu
3. Mwigulu Nchemba.......Singida......Mkristo
4. Asha Migiro.....Kilimanjaro......Muislamu
5.Zakhia Megji .....Kilimanjaro ......Muislamu
6. Seif Khatibu .....Unguja.....Muislamu
7. Nnape NNAUYE...Mbeya!!!!!kusini!!!!!sina uhakika........Muislamu ....

Ritz......aka .....mawasiliano .......jengo hoja sasa .....ya Ukanda, udini kwa CCM .....
Umemsahau Wasira Mkiristo, Nape Mkirsto, Mwigulu Mkirsto.

Tutajie basi na ya Chadema kamanda.
 
Kama uanakiri kuwa mtoto hufuata Kabila ya baba , Mnyika ni Msukuma wa Misungwi Mwanza , baba yake aliwahi kufanya kazi upare miaka ya huko nyuma , ndio maana a kapewa jina la Mnyika yaani mtu wa kuja .......
Teh teh teh Mnyika ni Msukuma wa Misungwi na kazaliwa Mwanza?
 
Umemsahau Wasira Mkiristo, Nape Mkirsto, Mwigulu Mkirsto.

Tutajie basi na ya Chadema kamanda.
Wassira ni mjumbe wa Secretariat ya CCM? Kwa nafasi ipi? Leo Umetoa mpya, Nnape Mkristo wa wapi? Dhehebu gani? Unajua alifunga Ndoa na Bint wa Brigedia Hemed ktk Masjid gani? Acha kupotosha weka facts....
 
Teh teh teh Mnyika ni Msukuma wa Misungwi na kazaliwa Mwanza?
Uadilifu facts....Nimekuambia mzee wake ni Msukuma wa Misungwi.....nimeenda mpaka kijijini kwao ni jirani na nyumbani kwa kada wenu maarufu anayeitwa Musa Elias Mnyeti......una la nyongeza?
 
Mkuu, tatizo lipo kwa hao wawekezaji wenyewe. Badala ya kuchagua kuweka miradi yao kwenye maeneo wazi, wao wanataka yale ambayo yanakaliwa na wananchi

Na kwa sababu serikali ya CCM ni ya kibaguzi, wanawapa maeneo hayo na kwa mikataba minono na ya siri na kuwafukuza wazawa!
 
Wewe juha kweli utaendelea kuwa msukule wa Dr Slaa, hauwezi kutetea ukanda na udini uliyopo Chadema hivi umeishajiuliza kwa nini Said Arfi kajiuzulu Chadema kama siyo udini na ukanda.

Ulivyokuwa kauzu umeona aibu kumtaja John Mnyika Mpare kutoka Kaskazini.

Wewe Chadema ni msukule tu ukitaka kujipima jaribu kugombea nafasi na mchaga uone utakavyofukuzwa kama mbwa.

Mkuu

Tulia ukiwa unachangia hoja usiyumbe yumbe kama mnazi ulioko ufukweni.

Mada hapa inahusu ukanda wewe umesha rukia kwenye udini!!!.

Nikiri kwenye orodha nimesahau kumtaja Mnyika ila kumbuka kuwa Mnyika ni Msukuma na si mpare kama unavyosema, lakini kama angekuwa mpare tatizo liko wapi kama angefanya kazi yake vizuri na ufanisi kama anavyo fanya sasa?! Ungemhukumu kwa kuwa ni Mpare kutoka kaskazini?!

Kwa kuwa umegusa kionjo chako kingine cha udini ngoja nikusaidie hapa.

Kwenye top leadership ya chadema iliyokuwa na viongozi sita kabla ya MM na mzee Saidi Arfi kujiuzuru ilikuwa na muonekano huu.

1. Freeman Mbowe - mkristo KKKT (mwenyekiti)

2. Saidi Arfi - Muislamu (Alikuwa makamu kabla ya kujiuzuru)

3. Said Mohamedi- Muislamu (Makamu mwenyekiti Zanzibar)

4. Dr Wilbroad Slaaa - Mkatoliki, Katibu mkuu

5. Zitto Kabwe - Muislamu, (Naibu aliye vuliwa nafasi zake)

6. Hamadi Yusuph - Muislamu (Naibu katibu Zanzibar).

kati ya viongozi sita wa chadema viongozi wawili pekee ndio wakristo.

Hivi viongozi hao wangeamua kupitisha maamuzi wao wenyewe wakikaa kwenye vikao vyao na ku-base kwenye imani zao za kidini nani wangeshinda kwa wingi wa kura?! Yaani waislamu 4 dhidi ya wakristo 2.

Acheni upumbavu, uislamu hautetewi kinafiki kiasi hicho! nilitegemea ungeanza kujiuliza kwa nini moja ya hukumu za dini yetu ni kumtaka kijana wa kiislamu ambaye ni balehe aoe pindi akifikisha miaka 18 lakini bado MM hajaoa mbali na kuwa na mafao na mishahara ya kibunge huku akiwa pia anagusa vilevi haramu kinyume na mafundisho ya dini. Hivi ndio tunatakiwa kuulizana kama unataka kusimamia uislamu sio kuutumia uislamu kueneza chuki kinyume na misingi ya dini yenyewe.
 
Hivi linaitaji kuwa na elimu ya chuo kikuu kudadavua kuwa Chadema ni chama cha kikanda na udini, hao wakurugezi watano wote ni Wakirsto unadhani ili limekuja kwa bahati mbaya.

Tutajie Zanzibar nani mkristo kwenye uongozi wa juu!! unafikiri wakati anawachagua alikuwa anaangalia dini ya mtu?? Umefirisika kabisa ndugu!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom