Ubaguzi uliotia fora.

unajua kazi yako itakuwa nini?
kuangamiza washenzi wote wene asili yako
wewe utasalimika kwa kuwa mkweli.
big up dadaaaa
una CV ya kuongezea?
 
Mod tufungie basiiiiiiiiiiiiiii
Mbona bado tunapetaaa?
Acheni ujingaaa ninyi,IT mnaisoma kwene magazetiii?
Aibuuuuu.
Msicheze na huu Ubongo ninyi.
 
mwafrika unajua tatizo moja hawa wabaguzi walileta hoja zao zisizokuwa na kichwa wala miguu wakidhania kwamba watu watawaangalia tu. Siku zote mjue kwamba mkileta hoja za kipumbavu tutazipinga na mtaishia kujiandikisha na majina hata 100 na mtukane mpaka mchoke lakini ukweli utabaki pale pale kuwa nyinyi ni MAGOIGOI WA KIFIKRA. Pumba zenu hazina nafasi katika jamii yetu.
 
mwafrika unajua tatizo moja hawa wabaguzi walileta hoja zao zisizo kichwa wala miguu wakidhania kwamba watu watawaangalia tu. Siku zote mjue kwamba mkileta hoja za kipumbavu tutazipinga na mtajiandikisha na majina hata 100 na mtukane mpaka mchoke lakini ukweli utabaki pale pale kuwa nyinyi ni MAGOIGOI WA KIFIKRA. Pumba zenu hazina nafasi katika jamii yetu.

Mimi nilishawaambia kuwa as longer as I am alive na JF iko hewani basi watu kama hawa hawataachiwa kuleta upuuuzi kama huu hapa. Uzuri ni kuwa, inanichukua chini ya dk 2 tu kujua kila kitu kuhusu wao na ajenda zao za ajabu
 
Hi Wakuu
Ninasikitika sana,jamii hii ya JF,kuna baadhi ya watu wamekuwa wakitumia nafasi zao kubishabisha,na kukashfu hoja za msingi na mifano halisi ya ubaguzi wachache tuliyobahatika kuushudia ktk jamii yetu ya kitz.
Kipande nilichowapa ni ukweli niliushuhudia mimi mwenyewe,na si hadithi ya kuleta uchonganishi hapa JF.

Ni vigumu sana,kwetu sisi watz kutoa ushahidi wa kukamilisha hoja ya kibaguzi,nimejitahidi kuwaaelezeni ukweli hasa,wa ubaguzi niliouona kwa macho yangu,lakini kuna watu fulani,kwa kulinda maslahi ya wahusika,wanatuita wachonganishi,si jambo jema.Ni hatari sana kwa jamii kama yetu,kukosa haja ya kuhoji ukweli kwa hoja na kuibishia tuuu,ilihali hata ukibisha hakuna atakayekuhoji.

Hapa twapaswa kupiga vita wanaobagua wenzao,na si kupinga waleta mada.
Members,hoja na vipande vyote nilivyoleta hapa ni vya kweli,labda nilulize mnataka nithibitishe vp?waliyafanya haya nawajua kwa majina na sura zao,na bado wapo hai,na wana nafsi zao,sasa nifanye nini?au nanyi hamnitakii mema?Niwawezeshe vp sasa?
 
Humu watu sijui wanaongea nini....?

Virtual insanity is taking over......

One can simply not win with Nyani Ngabu.

Give him a wordy analysis and he cite that to evident your long-windedness.

Give one liners and you evidence virtual insanity!
 
Hi Wakuu
Ninasikitika sana,jamii hii ya JF,kuna baadhi ya watu wamekuwa wakitumia nafasi zao kubishabisha,na kukashfu hoja za msingi na mifano halisi ya ubaguzi wachache tuliyobahatika kuushudia ktk jamii yetu ya kitz.
Kipande nilichowapa ni ukweli niliushuhudia mimi mwenyewe,na si hadithi ya kuleta uchonganishi hapa JF.

Ni vigumu sana,kwetu sisi watz kutoa ushahidi wa kukamilisha hoja ya kibaguzi,nimejitahidi kuwaaelezeni ukweli hasa,wa ubaguzi niliouona kwa macho yangu,lakini kuna watu fulani,kwa kulinda maslahi ya wahusika,wanatuita wachonganishi,si jambo jema.Ni hatari sana kwa jamii kama yetu,kukosa haja ya kuhoji ukweli kwa hoja na kuibishia tuuu,ilihali hata ukibisha hakuna atakayekuhoji.

Hapa twapaswa kupiga vita wanaobagua wenzao,na si kupinga waleta mada.
Members,hoja na vipande vyote nilivyoleta hapa ni vya kweli,labda nilulize mnataka nithibitishe vp?waliyafanya haya nawajua kwa majina na sura zao,na bado wapo hai,na wana nafsi zao,sasa nifanye nini?au nanyi hamnitakii mema?Niwawezeshe vp sasa?

Wadugu tuacheni fitina na kutetea ubaguzi eti kwasababu wanaosemwa(waliohusika) ni waislamu.
Database katoa ushahidi,ambao kwa hali ya kawaida si rahisi kuutoa,na nijuavyo mimi sakata la dodoma linahusisha vigogo(wa CCM frm zenj na Tanganyika).
Anastahili pongezi kwa ujasiri wake wa kuepose issue kama hii.

Tuache roho za ajabu jamani,turudi jamvini kuchambua mada.
Hata kama wewe wahusika ni ndugu zako,usione shida kukaa kimya,kuliko kuchafua hewa.

X xxxxxx
 
The trouble with the thread, true symbolic of its nature, inakuwa kama zile vita za Crusades halafu watu wanarusha marungu ovyo ovyo.Unaweza kuuawa na askari wa upande wako aliye karibu nawe.

Kwa sababu hapa kuna Upemba vs Uunguja uliochanganyika na Ukristo vs Uislamu ukakolezwa na Ubara vs Uvisiwani.Sijaongelea angle ya CUF vs CCM ambayo inaenda parallel na Pemba Unguja but is not the same thing.

Halafu watu wanataka ku reduce vitu complex kwa kutumia prism hizo tatu.

Whatever the case is, we are not doing it justice by the level of discussion displayed here.
 
Didn't the SMZ project enough political willingness and an amicable gesture by having Sepeku and Mwakanjuki in its top ranks? In not revoking the 99 year lease by the colonial Churches in Zanzibar? Do we really want to base political appointments on geographical / religious affiliation?

Mkuu Pundit!
Mimi hapa ndipo panapo nisikitisha! Wasifiwe kwa kuweka token figures? Wasifiwe kwa kutimiza wajibu wao? Kwani kwenye hiyo misikiti hakuna title? Na kila title ina muda wake. Mbona hatuwapongezi kwa kutokufuta title hizo muda wake ukiisha? Au Zanziba wana freehold? Kwamba watu wanamiliki ardhi in perpetuity!

Kuheshimu mikataba ya kikoloni ni utawala bora na si fadhila. Kenya na Uganda wamekuwa wakiuziana umeme kufuatana na mikataba iliyoingiwa wakati wa ukoloni. Hili wazo la kwamba serikali ya mapinduzi inawafanyia fadhila raia wake wakristu ndiyo symptoms ya mawazo ya kibaguzi. Anayefanyiwa fadhila mara zote ni yule ambaye hana stahili kama wenzake. Ni second class citizen.

Hoja ya msingi ya wakina Mukombosi na wenzake kuwa wakristu hawatendewi haki Zanziba ina ukweli ndani yake. Tatizo lao wameiingiza kwa kutumia lugha ambayo hao wanaowatuhumu ndio wangetumia. Lugha ya kibaguzi. Lugha ya kukomoana. Hii haikuwa sahihi. lakini msimtupe mtoto na maji aliyoogea!
 
Mkuu Pundit!
Mimi hapa ndipo panapo nisikitisha! Wasifiwe kwa kuweka token figures? Wasifiwe kwa kutimiza wajibu wao? Kwani kwenye hiyo misikiti hakuna title? Na kila title ina muda wake. Mbona hatuwapongezi kwa kutokufuta title hizo muda wake ukiisha? Au Zanziba wana freehold? Kwamba watu wanamiliki ardhi in perpetuity!

Kuheshimu mikataba ya kikoloni ni utawala bora na si fadhila. Kenya na Uganda wamekuwa wakiuziana umeme kufuatana na mikataba iliyoingiwa wakati wa ukoloni. Hili wazo la kwamba serikali ya mapinduzi inawafanyia fadhila raia wake wakristu ndiyo symptoms ya mawazo ya kibaguzi. Anayefanyiwa fadhila mara zote ni yule ambaye hana stahili kama wenzake. Ni second class citizen.

Hoja ya msingi ya wakina Mukombosi na wenzake kuwa wakristu hawatendewi haki Zanziba ina ukweli ndani yake. Tatizo lao wameiingiza kwa kutumia lugha ambayo hao wanaowatuhumu ndio wangetumia. Lugha ya kibaguzi. Lugha ya kukomoana. Hii haikuwa sahihi. lakini msimtupe mtoto na maji aliyoogea!

Fundi,

Hoja ilikuwa siyo sana kwamba wakristo wanafanyiwa fadhila kama ilivyokuwa kwamba wakristo minority wanayo a minority representation huko Zanzibar unlike the presented argument.

Unless tulitaka watu walio less than 5% wawe na a disproportinately large representation which defies logic na inarudi kwenye hiyo phenomena ya "Microsoft Word Dilemma" na "Point of Diminishing Return" kama nilivyoeleza hapo juu.
 
Fundi,

Hoja ilikuwa siyo sana kwamba wakristo wanafanyiwa fadhila kama ilivyokuwa kwamba wakristo minority wanayo a minority representation huko Zanzibar unlike the presented argument.

Unless tulitaka watu walio less than 5% wawe na a disproportinately large representation which defies logic na inarudi kwenye hiyo phenomena ya "Microsoft Word Dilemma" na "Point of Diminishing Return" kama nilivyoeleza hapo juu.

Mkuu! Hao wawili uliowataja ni historical figures. Sepetu alikuwa Katibu Mkuu bara na ameishastaafu. Mwakyambiki naye muda wake uliishapita. Wolfgang Dourado nae bila shaka ameshajipumzikia. Hata kama ni hiyo asilimia, haiingii kichwani kuwa toka mapinduzi watu kutoka jamii hii walioshika nafasi ya maana wanahesabika! Na ukitikia maanani kuwa serikali ya mkoloni lazima iliwapa kipaumbele katika elimu. Watu kama Chief Justice wamepata umaarufu katika serikali ya muungano na si huko alikotoka! Hiyo minority representation unayoizungumzia haipo. Sijasikia sheha aliye mkristu! Na ninavyoelewa ( I stand to be corrected) hawa ni kama viongozi wa nyumba kumi kumi.Hapo ndipo panapoleta manung'uniko.

Hatuwezi kukana kuwa representation ni muhimu katika sehemu yeyote ya jamii. Kwa wenzetu, hata pale ambapo minorities ni asilimia kiduchu serikali inafanya jitihada za ziada kuhakikisha kuwa wanapata uwakilishi (si lazima uwaziri) au inaundwa idara ya kuangalia maslahi yao maana kwenye mfumo wa demokrasia ni rahisi sana kukuta haki zao zinasahaulika. Nimewasikia wakristu wa Zanziba wakizungumzia ugumu wanaoupata wanapotaka kufungua kanisa jipya. Nimeambiwa na wakina mama wakristu kuwa inawabidi wavae hijab ili KUPUNGUZA karaha zinazowaandama kutokana na imani zao. Nimeambiwa na wakristu wa Zanziba jinsi wanavyofanyiwa fujo wanapoenda kwenye ibada. Nimewasikia waislamu katika jamvi hili wakipotosha historia na kudai kuwa kanisa la Mkunazini lilikuwa ndimo wakristu walikuwa wakifanyia biashara ya utumwa. Kibao kimegeuzwa na wakristu kubebeshwa mzigo wa biashara ya utumwa Zanziba! Na hakuna mzanzibari aliyejitokeza kusahihisha hoja hiyo! Wewe na mimi tunajua kuwa ubaguzi unakolezwa na kubadilisha historia na kum'demonise' mlengwa!

Hapana,wakuu! Zanziba kuna matatizo ya ubaguzi. Hili halikwepeki. Swali, ni jee, tatizo hili limefikia hatua ya kuwa institutionalised? Sidhani. Lakini kuna hatari ya kufikia huko tukifanya mashara.
 
Fundi,

Ndiyo hizo case building anecdote na circumstantial evidence tunazotaka, sio kupayuka kama watu wako kwenye Crusade ya 900 AD na Saladin.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom