Na wewe uliachaje mtu kakukuta afu anaingia tu?....
piga ngumi, kichwa na kitu chochote chenye ncha kali! Nchi tabu hii.
Mimi pamoja na familia yangu hupata huduma ya tiba hospitali hiyo hiyo na sijawahi kushuhudia aina yoyote ile ya ubaguzi.
Mke wangu alipata stroke na tukapewa namba na daktari wa kumuona . Tulikuta wangonjwa wengine wakingojea zamu zao kuingia lakini alipokuja daktari alitaka kwanza kumuona mgonjwa wangu. Kutokana na experience hiyo basi inawezekana kulikuwa na wagonjwa ambao aidha walikuwa wako more serious au pengine undugunasation ambao wengi huutumia kupata huduma hasa zile ambazo kuna rafiki ndugu iwe benki na hata polisi.
Tumekuelewa ila nauliza wewe ma mgonjwa wako mnatumia bima ya NHIF?
NHIF ni shida kila hospital ukienda unaangaliwa kama kinyaa vile hawakupi huduma hata.
Mie nimeshaenda karibu zoteee hospital kweli ni tatizo bima za NHIF wakati mwingine yanipasa kutumia cash ndo wanahangaika sasa.Ukienda Hindu Mandal ndo utalia na kibima chako.
Huwa natibiwa regency hosp sijaona kabisa ubaguzi,
ni wewe tu kadri ulivyowahi na foleni yako ikoje,
Penye ukweli usemwe ukweli na kwenye bahati mbaya
kama ya kwako ijulikane tu ni bahati mbaya.
Pole sana.
Mimi nimetibiwa ktk hospitali nyingi hapa DSM, lakini ubaguzi ulioko Regency ni wakutisha na sio dhidi ya wenye kadi za NHIF bali ubaguzi wa watu wenye asili ya Asia dhidi ya waswahili.Walinifanyia ubaguzi hadi wao wenyewe wakaona aibu na ikabidi DKT. mmoja kijana mwenye asili ya Asia aniombe samahani kwa kitendo hicho.
Mimi pamoja na familia yangu hupata huduma ya tiba hospitali hiyo hiyo na sijawahi kushuhudia aina yoyote ile ya ubaguzi.
Mke wangu alipata stroke na tukapewa namba na daktari wa kumuona . Tulikuta wangonjwa wengine wakingojea zamu zao kuingia lakini alipokuja daktari alitaka kwanza kumuona mgonjwa wangu. Kutokana na experience hiyo basi inawezekana kulikuwa na wagonjwa ambao aidha walikuwa wako more serious au pengine undugunasation ambao wengi huutumia kupata huduma hasa zile ambazo kuna rafiki ndugu iwe benki na hata polisi.
Ubaguzi ya rangi ni kikwazo kikubwa sana kwa maendelo na ustawi wa waafrika, Ulaya wanbaguliwa, Asia hivyohivyo, basi hata kwetu Afrika pia!!!Mimi nimetibiwa ktk hospitali nyingi hapa DSM, lakini ubaguzi ulioko Regency ni wakutisha na sio dhidi ya wenye kadi za NHIF bali ubaguzi wa watu wenye asili ya Asia dhidi ya waswahili.Walinifanyia ubaguzi hadi wao wenyewe wakaona aibu na ikabidi DKT. mmoja kijana mwenye asili ya Asia aniombe samahani kwa kitendo hicho.
NINA BIMA YA NHIFUlikuwa na bima au ulikuwa na cash mwenzio alikuwa na bima ndo kabaguliwa
Mimi nimetibiwa ktk hospitali nyingi hapa DSM, lakini ubaguzi ulioko Regency ni wakutisha na sio dhidi ya wenye kadi za NHIF bali ubaguzi wa watu wenye asili ya Asia dhidi ya waswahili.Walinifanyia ubaguzi hadi wao wenyewe wakaona aibu na ikabidi DKT. mmoja kijana mwenye asili ya Asia aniombe samahani kwa kitendo hicho.
Kusema kweli natibiwa hapo regency inapokuja swali unamuona dr nani jibu la kwanza huwa nawaambia nataka daktari mswahili .
...bilashaka hii mbinu inafaa! Dawa ya ubaguzi ni ubaguzi...
Wote mtakao kwenda kutibiwa hapo regency hospital tumia njia hiyo... "nataka dkt mswahili"