Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,711
Hata wangesema tunataka shehe kama kigezo wangempata wapi. kwa kweli sijawahi kuona shehe mwenye degree ktk elim dunia. yaani mwenye degree ya science au hata humanity yoyote. mpaka nahisi ili uwe shehe lazima usiwe msomi.
Dr Zakir Naik na baba yangu.