Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,614
Viva JamiiForum
Nabadili njia
Nisubiri, najua shortcut.
Viva JamiiForum
Nabadili njia
Huyu ni yuleyule bahili au ni mchepuko?Habari wana jukwaa, naomba kujua hivi wanaume ndio wababe hivi au huyu nilie nae in kimeo?? Yani huyu bwana nna miezi nae mitatu tu, amekua ni mkali balaa haya nashindwa kumuelewa yani anachotaka yeye kiwe ndio hichoicho hasikilizi opinions zangu mfano..kama mwezi umepita nilikua na trip ya zenji full moon pati nikamwambia naenda akagoma eti nisiende na sababu ya msingi hana..Pili one day nilikua naenda kwenye harusi nikamuaga anasema usiende njoo tuspend hii time together nikamwambia nitakuja afta party eti kasusa kanuna kabisaa na anatabia za kuninunia bila hata mpango...mi kwakweli namshangaa sanaaa...ndivo wanaume mlivo?? Maisha hayo mi siwezi ati
Daah!! Sijui unanisema vile? Yaan nahisi kama ni tabia zangu!! Kiukweli hata mm natabia kama hiyo kabisaaHabari wana jukwaa, naomba kujua hivi wanaume ndio wababe hivi au huyu nilie nae in kimeo?? Yani huyu bwana nna miezi nae mitatu tu, amekua ni mkali balaa haya nashindwa kumuelewa yani anachotaka yeye kiwe ndio hichoicho hasikilizi opinions zangu mfano..kama mwezi umepita nilikua na trip ya zenji full moon pati nikamwambia naenda akagoma eti nisiende na sababu ya msingi hana..Pili one day nilikua naenda kwenye harusi nikamuaga anasema usiende njoo tuspend hii time together nikamwambia nitakuja afta party eti kasusa kanuna kabisaa na anatabia za kuninunia bila hata mpango...mi kwakweli namshangaa sanaaa...ndivo wanaume mlivo?? Maisha hayo mi siwezi ati
Ungekuwa ww unafNyiwa hivyo ungekubali!!!!!Habari wana jukwaa, naomba kujua hivi wanaume ndio wababe hivi au huyu nilie nae in kimeo?? Yani huyu bwana nna miezi nae mitatu tu, amekua ni mkali balaa haya nashindwa kumuelewa yani anachotaka yeye kiwe ndio hichoicho hasikilizi opinions zangu mfano..kama mwezi umepita nilikua na trip ya zenji full moon pati nikamwambia naenda akagoma eti nisiende na sababu ya msingi hana..Pili one day nilikua naenda kwenye harusi nikamuaga anasema usiende njoo tuspend hii time together nikamwambia nitakuja afta party eti kasusa kanuna kabisaa na anatabia za kuninunia bila hata mpango...mi kwakweli namshangaa sanaaa...ndivo wanaume mlivo?? Maisha hayo mi siwezi ati
Habari wana jukwaa, naomba kujua hivi wanaume ndio wababe hivi au huyu nilie nae in kimeo?? Yani huyu bwana nna miezi nae mitatu tu, amekua ni mkali balaa haya nashindwa kumuelewa yani anachotaka yeye kiwe ndio hichoicho hasikilizi opinions zangu mfano..kama mwezi umepita nilikua na trip ya zenji full moon pati nikamwambia naenda akagoma eti nisiende na sababu ya msingi hana..Pili one day nilikua naenda kwenye harusi nikamuaga anasema usiende njoo tuspend hii time together nikamwambia nitakuja afta party eti kasusa kanuna kabisaa na anatabia za kuninunia bila hata mpango...mi kwakweli namshangaa sanaaa...ndivo wanaume mlivo?? Maisha hayo mi siwezi ati
Upo mkuu?Hela yake unaipenda lkn amri zake huzipendi?Kama amri zimekushijda na hela zake pia zikushinde
Ni mbahili, mchoyo na tegemezi sana ni kama namleaHela yake unaipenda lkn amri zake huzipendi?Kama amri zimekushijda na hela zake pia zikushinde
Uyo uyoHuyu ni yuleyule bahili au ni mchepuko?
BoyfrendMumewako wa ndoa?
Kwan mme au hawara? kama ni mme inaonekana dada hakuwa amejiandaa kuolewa bado anapenda mitoko isiyo rasmi ambayo baada ya kuolewa inatakiwa kupungua, kama siyo kuisha kabisa.Jaribu kukaa nae ili muelimishane, b'se naona kama una ubabe fulani dhidi ya nwenzako. Huyo ni mume wako hata uachane nae leo, utakaekutana nae kesho atakuwa hivyo hivyo
Sio mume ni boyfrensKwan mme au hawara? kama ni mme inaonekana dada hakuwa amejiandaa kuolewa bado anapenda mitoko isiyo rasmi ambayo baada ya kuolewa inatakiwa kupungua, kama siyo kuisha kabisa.
sio wanaume tulivyo huyo wako ndivyo alivyo kwan ndio mwanaume wako wa kwanza?Habari wana jukwaa, naomba kujua hivi wanaume ndio wababe hivi au huyu nilie nae in kimeo?? Yani huyu bwana nna miezi nae mitatu tu, amekua ni mkali balaa haya nashindwa kumuelewa yani anachotaka yeye kiwe ndio hichoicho hasikilizi opinions zangu mfano..kama mwezi umepita nilikua na trip ya zenji full moon pati nikamwambia naenda akagoma eti nisiende na sababu ya msingi hana..Pili one day nilikua naenda kwenye harusi nikamuaga anasema usiende njoo tuspend hii time together nikamwambia nitakuja afta party eti kasusa kanuna kabisaa na anatabia za kuninunia bila hata mpango...mi kwakweli namshangaa sanaaa...ndivo wanaume mlivo?? Maisha hayo mi siwezi ati