mensaah
JF-Expert Member
- Sep 12, 2016
- 927
- 1,311
Huu mtindo wa kupost thread zinashindwa kuendana sijui kwa nn baadhi ya wana JF wanakuwa waongo waongo hivyo, leo analeta post yy single mother, kesho mara Mme wangu sijui kafanya nn kesho kutwa boyfriend wangu yaan wanadhan JF wote ni vilaza sasa tutakuwa tunawaumbua labda kila post mpya aingie na ID mpya

