Ubabe Wa wanaume katika mapenzi

Ubabe Wa wanaume katika mapenzi

Habari wana jukwaa, naomba kujua hivi wanaume ndio wababe hivi au huyu nilie nae in kimeo? Yani huyu bwana nna miezi nae mitatu tu, amekua ni mkali balaa haya nashindwa kumuelewa yani anachotaka yeye kiwe ndio hichoicho hasikilizi opinions zangu mfano.

Kama mwezi umepita nilikua na trip ya zenji full moon pati nikamwambia naenda akagoma eti nisiende na sababu ya msingi hana Pili one day nilikua naenda kwenye harusi nikamuaga anasema usiende njoo tuspend hii time together nikamwambia nitakuja afta party eti kasusa kanuna kabisaa na anatabia za kuninunia bila hata mpango...mi kwakweli namshangaa sanaaa...ndivo wanaume mlivo?? Maisha hayo mi siwezi ati

Alikupataje au alikupata wapi? inawezekana hii inamjia kichwani mwake kuwa anaweza mtu mwingine akatumia gia au njia ailiyotumia kukupata..ndio wasi wasi wake huo
 
Habari wana jukwaa, naomba kujua hivi wanaume ndio wababe hivi au huyu nilie nae in kimeo? Yani huyu bwana nna miezi nae mitatu tu, amekua ni mkali balaa haya nashindwa kumuelewa yani anachotaka yeye kiwe ndio hichoicho hasikilizi opinions zangu mfano.

Kama mwezi umepita nilikua na trip ya zenji full moon pati nikamwambia naenda akagoma eti nisiende na sababu ya msingi hana Pili one day nilikua naenda kwenye harusi nikamuaga anasema usiende njoo tuspend hii time together nikamwambia nitakuja afta party eti kasusa kanuna kabisaa na anatabia za kuninunia bila hata mpango...mi kwakweli namshangaa sanaaa...ndivo wanaume mlivo?? Maisha hayo mi siwezi ati
njoo kwangu ...maisha yako nayaweza
 
Jinsi unavoishi nao ndivyo utakavojifunza coz pipo are dynamic we are changing according to the environment, tabia ya MTU inategemea factors mbalimbali. So Kwa kukusaidia anzana mitaa like mwananyamala then uje mbezi beach etc, ukimaliza uje Levo ya mikoa pia hutofautisha tabia, then education, weather, social,political, economical, technological, religiously na factors nyingine kibao
mashallah uko gud
 
Kama ushajua tabia zake.. badala ya kumuaga unaenda sehemu fulani, kwa nini usianzishe tabia ya kusema muende wote...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom