Omba mwenyezimungu asibadilike asikutane na mipaka shume tu akabadili fikraMmmhhh....shosti. ndani ya saa moja umepost kumtuhumu mr wako ni bahili na ni tegemezi. Ulikuwa naye moro akatumia zaidi ya laki. Muda huhuuu umeshapost ni mbabe!
Any way pole, maana sisi wengine huwa tunasikia migogolo kwa majilani tu. Hubby wangu ananipenda adi nikikohoa tu anaita mama Anneth unaniita??
Tunashukuru leo umecoment asante kwa kujaHabarini jamani...
samahanini mimi nyuzi kama hizi nikishasomaga tu comment za watu huwa naishiwa cha kucomment so naamua kupita tu kama hiivi.. heeiy nilikuepo
Ni PM tukayacheçk maisha, unahangaika na wababe wa nini wakati waungwana tupoHabari wana jukwaa, naomba kujua hivi wanaume ndio wababe hivi au huyu nilie nae in kimeo?? Yani huyu bwana nna miezi nae mitatu tu, amekua ni mkali balaa haya nashindwa kumuelewa yani anachotaka yeye kiwe ndio hichoicho hasikilizi opinions zangu mfano..kama mwezi umepita nilikua na trip ya zenji full moon pati nikamwambia naenda akagoma eti nisiende na sababu ya msingi hana..Pili one day nilikua naenda kwenye harusi nikamuaga anasema usiende njoo tuspend hii time together nikamwambia nitakuja afta party eti kasusa kanuna kabisaa na anatabia za kuninunia bila hata mpango...mi kwakweli namshangaa sanaaa...ndivo wanaume mlivo?? Maisha hayo mi siwezi ati
Pole ila 6x6 yupo vizuri?Ni mbahili, mchoyo na tegemezi sana ni kama namlea
Msaidie mwenzio uzoefu wako,Aaaaahhaaaaaa
Njoo kwangu mkulima wa KyelaNi mbahili, mchoyo na tegemezi sana ni kama namlea
Sio hofu, ni suala la kuwa realistic. I've laid a couple of damsels at the full moon. It's like Cancun or Negril or Montego Bay ...times 10...aibuMmmhhh....hofu nini sasa? Ulimkuta akiwa na meno 32 banna!![]()
Ha ha haIla we mwenyewe wiki iliyopita tu, uli-comment kuwa single mother, divorced, na una undugu na baba wa mwanao. Ndio JF.

Ukijui unachokitaka!!!Habari wana jukwaa, naomba kujua hivi wanaume ndio wababe hivi au huyu nilie nae in kimeo? Yani huyu bwana nna miezi nae mitatu tu, amekua ni mkali balaa haya nashindwa kumuelewa yani anachotaka yeye kiwe ndio hichoicho hasikilizi opinions zangu mfano.
Kama mwezi umepita nilikua na trip ya zenji full moon pati nikamwambia naenda akagoma eti nisiende na sababu ya msingi hana Pili one day nilikua naenda kwenye harusi nikamuaga anasema usiende njoo tuspend hii time together nikamwambia nitakuja afta party eti kasusa kanuna kabisaa na anatabia za kuninunia bila hata mpango...mi kwakweli namshangaa sanaaa...ndivo wanaume mlivo?? Maisha hayo mi siwezi ati
Hahaha kumbe wakuswampaaaaaHabari wana jukwaa, naomba kujua hivi wanaume ndio wababe hivi au huyu nilie nae in kimeo? Yani huyu bwana nna miezi nae mitatu tu, amekua ni mkali balaa haya nashindwa kumuelewa yani anachotaka yeye kiwe ndio hichoicho hasikilizi opinions zangu mfano.
Kama mwezi umepita nilikua na trip ya zenji full moon pati nikamwambia naenda akagoma eti nisiende na sababu ya msingi hana Pili one day nilikua naenda kwenye harusi nikamuaga anasema usiende njoo tuspend hii time together nikamwambia nitakuja afta party eti kasusa kanuna kabisaa na anatabia za kuninunia bila hata mpango...mi kwakweli namshangaa sanaaa...ndivo wanaume mlivo?? Maisha hayo mi siwezi ati