Ofisi ya Msajili wa Vyama na Msajili wana wajibu kwa vyama kama ilivyo kwa vyama, kwao. Hii pia ni kama ilivyo kwa serikali na wote hawa.
Yote hiyo iko kwa mujibu wa sheria wazi na bayana katika katiba.
Migongano inayotokea ni kwa sababu tu ya ukiukwaji katiba, ambapo hayupo aliyejuu ya katiba.
Pasipo kukemewa kwa hali hizi ni pigo kwa utawala wa sheria.
Pasipo na kuzingatiwa kwa sheria na kila mdau katika mukthadha huu, ni pigo kwa utawala wa sheria.
Kutaka kuzalisha mapya yasiyokuwamo kwenye katiba baina wadau (yaani ya serikali, vyama na ofisi ya Msajili) ni pigo kwa utawala wa sheria.
Mambo yasiyo kubalika asilani!
Wakemewe wote wanaotuletea mitafaruku kwa kutokuzingatia sheria kama vilivyo.
Washindwe "vingwendu" wote wanaotaka kufanyia katiba usanii wowote katiba badala ya kuizingatia.
Sheria zipo kwa ajili ya kuheshimiwa. Si zaidi, wala pungufu.
Yote hiyo iko kwa mujibu wa sheria wazi na bayana katika katiba.
Migongano inayotokea ni kwa sababu tu ya ukiukwaji katiba, ambapo hayupo aliyejuu ya katiba.
Pasipo kukemewa kwa hali hizi ni pigo kwa utawala wa sheria.
Pasipo na kuzingatiwa kwa sheria na kila mdau katika mukthadha huu, ni pigo kwa utawala wa sheria.
Kutaka kuzalisha mapya yasiyokuwamo kwenye katiba baina wadau (yaani ya serikali, vyama na ofisi ya Msajili) ni pigo kwa utawala wa sheria.
Mambo yasiyo kubalika asilani!
Wakemewe wote wanaotuletea mitafaruku kwa kutokuzingatia sheria kama vilivyo.
Washindwe "vingwendu" wote wanaotaka kufanyia katiba usanii wowote katiba badala ya kuizingatia.
Sheria zipo kwa ajili ya kuheshimiwa. Si zaidi, wala pungufu.