Ubabe huu wa TEC

Kumbe ni mkatoliki?!
 
TEC sio baraza la mambo ya kidini. Hao ni watu wenye mambo ya siri nje ya imani. Wanajua upigaji wao kwenye kupitisha vitu bandarini unafikia mwisho ndo maana wanakazana kupinga. Ogopa kanisa linaloweza kufadhili Civil Wars.
Tz tumekuwa na vita vya wenyewe?
 
Hii kitaalamu inatiwa, GOMA NA HUKU TUONE
 
TEC sio baraza la mambo ya kidini. Hao ni watu wenye mambo ya siri nje ya imani. Wanajua upigaji wao kwenye kupitisha vitu bandarini unafikia mwisho ndo maana wanakazana kupinga. Ogopa kanisa linaloweza kufadhili Civil Wars.
Hilo lilishafafanuliwa sana kisomi hapa Jf na hiyo point yako siyo mantiki wala muktadha wa waraka wa Teki.

Pimeni upepo kuona waTz walio wengi wanasemaje kuhusiana na hilo saga?

Kuendelea kushupaza shingo kuutetea mkataba, watu wenye kuevaluate mambo watakushangaa na kukuona una jambo ama hoja iliyo nyuma ya pazia.
 
Hajaitwa kama kiongozi .. amehudhuria IBADA kama muumini.., nakala kapewa kama muumini,!!

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
TEC sio baraza la mambo ya kidini. Hao ni watu wenye mambo ya siri nje ya imani. Wanajua upigaji wao kwenye kupitisha vitu bandarini unafikia mwisho ndo maana wanakazana kupinga. Ogopa kanisa linaloweza kufadhili Civil Wars.
Nguruwe akishiba kazi yake kuachia ushuzi !! Hongereni wagawa makombo !!

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
TEC sio baraza la mambo ya kidini. Hao ni watu wenye mambo ya siri nje ya imani. Wanajua upigaji wao kwenye kupitisha vitu bandarini unafikia mwisho ndo maana wanakazana kupinga. Ogopa kanisa linaloweza kufadhili Civil Wars.
....Mama Samia Pole. Kwa ukishindwa Kuwathibiti Wapigaji ndio Umeamua ndugu zako Waendeshe Bandari ZETU Milele ?? [emoji35]
 
TEC sio baraza la mambo ya kidini. Hao ni watu wenye mambo ya siri nje ya imani. Wanajua upigaji wao kwenye kupitisha vitu bandarini unafikia mwisho ndo maana wanakazana kupinga. Ogopa kanisa linaloweza kufadhili Civil Wars.
Yani hii inaitwa fear of the unknown, hayo mambo ya siri umeyajuaje boss? acheni kujudge kwa imaginations, hiyo ni kazi ya kishetani kufanya false accusation, misdirected anger.
 
TEC sio baraza la mambo ya kidini. Hao ni watu wenye mambo ya siri nje ya imani. Wanajua upigaji wao kwenye kupitisha vitu bandarini unafikia mwisho ndo maana wanakazana kupinga. Ogopa kanisa linaloweza kufadhili Civil Wars.
Watu wanatetea maslahi yao kwa nguvu zote...
 
TEC sio baraza la mambo ya kidini. Hao ni watu wenye mambo ya siri nje ya imani. Wanajua upigaji wao kwenye kupitisha vitu bandarini unafikia mwisho ndo maana wanakazana kupinga. Ogopa kanisa linaloweza kufadhili Civil Wars.

Chawa hawajawahi kuwa na akili kabisa,Samia Mwenyewe anawajua TEC vizuri na anawaheshimu we kaa kwa kutulia bro.TEC sio omba omba wala wapiga dili.Hawajaanza kwenye hili Labda Ulikua mgeni kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…