mandela1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 837
- 600
Naomba nisiende mbali ilikuepuka kuwachosha wana JF
Moja kwa moja
Neno UAMINIFU kwny mapenzi ni wito wakuu kutokana na kuwa huwaweka watu roho juu
Kisa: wakuu nina mwenza Wang ambaye nimezaa Naye mtoto mmoja kwa tafasiri Nzuri yaani mzazi mwenzangu ila tupo mbioni kubariki ndoa .
Naandika uzi huu nikiomba kupata mawazo tofauti tofauti kutoka kwenu kwamba..
Mzazi mwenzangu ameitwa kwenda kwenye mafunzo ama semina kwa lugha rahisi sasa
Huko alipo anafikia nyumba za wageni ndo aende darasani kila siku
Wasiwasi wangu ni kuwa ntamuamini vepe wakuu ili hali mnajua akili za hawa jinsia ya kike japo mwanzo sijaona tabia yeyote ya kutomwamini kwa kuwa alikuwa karibu nami .
Wasi wasi tena n pale napompigia Simu nasikia mtu akibisha mlango saa 5 anaomba charge ya simu chumba alichokuwemo yeye
NIMUAMINI KWELI WAKUU......?
Moja kwa moja
Neno UAMINIFU kwny mapenzi ni wito wakuu kutokana na kuwa huwaweka watu roho juu
Kisa: wakuu nina mwenza Wang ambaye nimezaa Naye mtoto mmoja kwa tafasiri Nzuri yaani mzazi mwenzangu ila tupo mbioni kubariki ndoa .
Naandika uzi huu nikiomba kupata mawazo tofauti tofauti kutoka kwenu kwamba..
Mzazi mwenzangu ameitwa kwenda kwenye mafunzo ama semina kwa lugha rahisi sasa
Huko alipo anafikia nyumba za wageni ndo aende darasani kila siku
Wasiwasi wangu ni kuwa ntamuamini vepe wakuu ili hali mnajua akili za hawa jinsia ya kike japo mwanzo sijaona tabia yeyote ya kutomwamini kwa kuwa alikuwa karibu nami .
Wasi wasi tena n pale napompigia Simu nasikia mtu akibisha mlango saa 5 anaomba charge ya simu chumba alichokuwemo yeye
NIMUAMINI KWELI WAKUU......?