The target was 6. Mafisadi wamepiga 3 bilaAfadhali mzee wa vijisent hayupo
The target was 6. Mafisadi wamepiga 3 bilaAfadhali mzee wa vijisent hayupo
Afadhali mzee wa vijisent hayupo
Naona ni mabifu tuu ccm walau Anna makinda anaweza faa kidogo
Huyu mama ni mbeijing dunia nzima. Nakumbuka katika kuchangia kipindi kimoja aliwahi kuwaponda wapinzani hata hamu naye sina. Muhimu wapinzani tupeleke mtu!Mhh na Anna abdala je huyu si wa Msekwa! :A S angry:
Anayesema jf ni wazushi na alaaniwe, hii ilisemwa muda kitambo kuwa kulikuwa na mpango wa kumtosa 6 wengine wakasema eti tunazusha, sasa nani anapinga hili? Wapinzani nasi tupeleke kichwa kimoja kwa kuwa kura za mafisadi zitagawanyika!
..............tunaomba cv yake wanaemfahamu.Huyu Kate ndo nani?