Anna Abdallah ni wife wa ex-speaker, hivyo watasaidiana kuendesha shughuli za bunge kwa pamoja, yaani Pius atakuwa anaingia bungeni na mobile-phone na kila wakati atakuwa anamuelekeza, na sometimes ataonesha kwa vitendo kama vile wanavyofanya makocha wa Football!!Anna Makinda miaka 61
EDUCATION
Mama hana degree huyu!
- Institute of Development & Management - Morogoro Administration Course 1971 1975 ADV DIPLOMA
- Kilakala Girls' Secondary School(Marian College) A-Level Education 1969 1970 HIGH SCHOOL
- Masasi Girls' Secondary School O-Level Education 1965 1968 SECONDARY
- Peramiho Girls' Middle School Primary Education 1961 1964 PRIMARY
- Uwemba Primary School Primary Education 1957 1960 PRIMARY
Anna Magreth Abdallah received a Bachelor of Arts degree in sociology from Missouri Sociology College in the United States in 1963. In 1967 she received a Diploma in Home Economics from the University of London in the United Kingdom.http://en.wikipedia.org/wiki/Anna_Abdallah#cite_note-0
Huyu mama ana miaka 70 lol! sidhani kama anaweza uspika, akili imedumaa.
Source: Mbali mbali
Ni kweli au stori tu.inasemekana ni kazi ya 3k yani kinana, kikwete na kingunge,
mazungumzo ya sitta kupinga matokeo na kujitoa na kuhamia chadema yanaendelea
Kwa staili hii Mabere marando anaweza kupata nafasi ya Uspika kwani tunahitaji wabunge 72 tu kutoka CCM
Siku wakikuwa tayari nchi haitakuwa mikononi mwao. Ipo siku tu tutafanikiwa.Kudadeki Kweli ng'ombe wa masikini hazai na akizaa anazaa dume na dume levyewe linakufa, akizaa jike linakuwa tasa. Pamoja na kupiga kura zetu kwa bidii thithiem wanaweka spidi gavana badala ya spika mwenye akili timamu. hawa wote alioteuliwa ni vimeo na wako kwa maslahi ya mafisidi sio siri inakera, CCM watakua lini waache mambo ya kitoto. Kwakweli tumechoka na tutegemee bunge linalobore na kusubiri miaka mitano iishe. siamini kama niko bongo kwenye chama tawala cha kichina.
?CCM bwana!! hivi Mr. six alikosea wapi