U-SPIKA: Sitta, Chenge wapigwa panga CCM!

U-SPIKA: Sitta, Chenge wapigwa panga CCM!

Nilitegemea hilo kwani lengo la Chenge kugombea ulikuwa ni mpango wa kumchomoa Sitta ili asijekulalamika,mpango huo ulikuwepo sana na sishangai sana,:smile-big:

Mkuu kwa nini unafikiria hivyo. Nadhani Chenge alidhamiria hasa kuwa Spika la sivyo asingesafishwa na TAKUKURU wakati wanajua bado anakesi ya kujibu ya rushwa.
 
kwa kweli si habari nzuri kwa watanzania, ingawa Sitta naye aliwabania sana wapinzani (alichelewesha sana mijadala na pia kuruhusu mijadala kufungwa ili hali haijakamilika)
 
Hawa jamaa watatuuwa na wastaafu. Kila spika anayestaafu anapewa gari jipya, na ataendelea kupata 80% ya mshahara wa spika aliyeko madarakani kwa maisha yake yote.... je ileofisi ya spika Urambo itatumika kwa ajili ya nini?
 
Kweli Tanzania inataka kumalizwa na wachache,yan kwa hapo bunge halitakuwa na usawa wala kufuata matakwa ya wananchi.
Kiukweli hapakua na raha ya kufuatilia bunge na wananchi hatuna letu tena ndani ya nchi yetu.
 
Mi nlijua tuu.....
Ch**ge alifanya vile makusudicaly kumtafutia 6 bifu ili hatimaye wote waonekene hawana sifa then wapigwe chini kweli siasa si hasa!!!!!!!!
 
Jamani,sad news but anyway he still have a lot to do. Probability ni anna makinda kupita. I ma suprised.Kumbe kila kitu kinawezekana chini ya Jua.
 
I called it yesterday kwamba spika wa awamu hii ni mwanamke. Kate Kamba anahusika na madili mengi sana ya ufisadi, hiki kiti kipo wazi kwa Anna Makinda na akiingia huyu mama ndipo tutaona ubabe wa CCM
 
Let be serious, hivi tunachagua watendaji au? Huyu mama Anna Abdalla si something ya aliyekuwa spika wa bunge lile, I thing hatujawa serious na tunakoelekea kuchaguana kwa kufumbiana macho kutatupeleka kusiko.

JK awe makini hatuendi Bungeni kufurahishana au kutimiza gender issue
 
Hee, yule Anne mwingine (wa Mzee Tingatinga) naye katoswa! By the way Bunge la safari hii litakuwa na wanawake wangapi?
 
Kamati Kuu ya CCM imependekezea majina yafuatayo kugombea Uspika:

1. Anna Makinda
2. Anna Abdallah
3. Kate Kamba

Kwa hivyo Mzee wa Vijisenti out, Sitta out!!!

Source: Channel 10 News Bulletin 3 minutes ago.

wapuuzi wamefanya upuuzi wao! mwenye macho haambiwi tazama ccm imehifadhiwa chumba cha maiti wanasubiriwa ndugu jamaa na marafiki safari ihitimishwe kaburini!
 
Back
Top Bottom