U-SPIKA: Sitta, Chenge wapigwa panga CCM!

U-SPIKA: Sitta, Chenge wapigwa panga CCM!

Nimekuwa naivumilia na kuitetea CCM, sasa natangaza kuhama na naaza kampeni za 2015. hii sio sawa, wamesononesha watanzania asilimia kubwa sana, Sitta ni mtu wa bunge la sasa, anayeruhusu mjadala kulingana na hali halisi bila upendeleo,

CHADEMA NAWAOMBA KADI.
 
Hatua nyingine ya ccm kuzidi kujizika coz Anna Makinda atafunika maada nzito zenye majibu magumu! Mwisho wa siku sisi wananchi tutang'amua!

kingine, hii ni proof ya ufujaji wa pesa za watanzania! Ni kuhusu ofsi ndogo ya bunge iliyojengwa jimboni kwa sitta, ivi ni nani alitoa wazo mfu kama hili?
 
Katibu mkuu wa ccm Yusuf Makamba ametangaza majina matatu yatakayopigiwa kura na wanaccm kumpata atakayegombea uspika kupitia ccm. Aliyataja majina hayo kuwa ni Anne Makinda, Anna Abdallah ( Mke wa Pius Msekwa ) na Kate Kamba.
Samwel Sitta ambaye aliliendesha bunge la 9 kwa ustadi mkubwa kwa kukubali kujadili hoja nzito ametemwa pamoja na kuwa wasomi walipendelea aendelee na nafasi hiyo. Ni imani yangu kuwa kamati kuu ya ccm imetekeleza maelezo ya Edward Lowassa na Chenge waliopendekeza Sitta asiteuliwe tena na kamati hiyo.

Kazi ipo! Sijui kama tutawasikiliza tena wapiganaji wetu.
Mungu ibariki tanzania, Mungu ibariki CHADEMA, Mungu ibariki bunge letu.
 
Kuondolewa kwa jina la Samuel Sitta katika kinyang'anyiro cha kugombea uspika kuna hashria nini?
 
Of course nia ya Chenge kumsakama Sitta ilikuwa ni dili ya Rostam, Lowassa na Mzee mzima ili kumng'oa Mr Six na kumweka Anna Makinda ambaye amedaiwa amekuwa kwenye kambi yao sasa.

Opposition wamchague Mabere Marando ili apambane na hilo chaguo la Rostam.

Sasa tutawaona wabunge wa CCM kama wameshakombolewa kifikra na kimaamuzi au bado wameshikiliwa na Rostam.
Inatakiwa wawaonyeshe akina Rostam, Lowassa, makamba, Chenge, Makinda na Mzee Mzima kuwa wao KWANZA ni WAWAKILISHI WA WANANCHI WOTE wa majimbo yao, na si wa CCM tu. wamchague MARANDO.

Hapo wabunge hao wa CCM wataheshimiwa na VIONGOZI, MAFISADI na WANANCHI WAO.
Wasiwasi wangu wabunge wa CCM hawawezi kufanya hivyo lazima watalishwa sumu na kamati zao na kuchagua mtu wao hata kama hafai.
 
SASA KAMA SITTA OUT, ITAKUWAJE KUHUSU LILE JENGO LA SPIKA LILILOZINDULIWA NA KIKWETE MWAKA HUU KULE URAMBO? JE MAKINDA AKIPITA NAYE ATAJENGA LA KWAKE KULE NJOMBE AU ATAKUA ANAKWENDA URAMBO? INA MAANA SERIKALI HAINA MIPANGO YA MUDA MREFU? NAOMBA YALE MAJIMBO YATAKAYOKUWA NA UCHAGUZI THIS WEEKEND WASIFANYE MAKOSA KUICHAGUA CCM.
attachment.php

:israel:
 
Jk na watu wake wanatumia kisingizio cha "kuwawezesha" kina mama kupata Spika atakayeburuzwa! Hivi hawa watu watatupelekesha mpaka lini?
 

Attachments

  • 1.jpg
    1.jpg
    84.4 KB · Views: 268
had the same thought. Pia walijua chenge akitajitangaza tuu watu wangehamishia masikio yetu kwake. Which in fact people did. Baada ya chenge kutatangaza kuwa atagombea uspika watu including vyombo vya habari vilianza kumjadili yeye badala ya Sitta. Watu na vyombo vya habari vilichukua tangazo la chenge kwa uzito sana, a trick made by CCM and finally worked for them. Kweli kuna watu walifikiri kuwa chenge angechaguliwa na ccm kuwania uspika?? Ilikuwa ni njia ya kuwapumbaza watu.
Aisee!!!!
 
Anna Makinda...??, yaani always CCM chaguo lao Bovu, rooten, rubbish, hadi nakufa i never expect CCM to put a right, a know how personnels in proper positions, Sitta kaachwa walimweka Chenge ili kuzugia ili wamtoe Sitta, Mafisadi everywhere, huyu Anna kuongoza bunge hana lolote utaona anatoa toa MWANYA nje kakunja uso, haswa kwa upinzani hata hoja haijaisha kakatiza hafai, sintashangaa JK akimchagua Mkuchika kuwa Waziri wa Afya, Mwakyusa waziri wa Ngombe, mbuzi, kondoo na kuku pia bata:bathbaby: here we gooo, kila siku:A S thumbs_down: huko vichwani mwao:A S-confused1::A S-heart-2::kiss:😛reggers: najua mafisadi leo ni:tea::clap2: ila Sitta :frusty: nakusihi Sitta usiumize kichwa tupo pamoja:amen:
 
mpaka sasa nimejua bunge si chombo huru kama nilivyoamini au kufundishwa bado linapelekeshwa na serikali. tz is not a democratic country, it is a somesalt of dictetarship. nimeumia sana kuachwa kwa our Standard and Speed. anyway we apreciate your work Sitta may God bless you.thats why sometimes i hate this country.
 
Anna Abdalla ndo Mke wa Spika wa Muda mrefu Pius Msekwa. Yeye na Msekwa wake wameshajichokea kwa uzee na wanatakiwa wawe wanakula pensheni. Siasa za kukimbizana na kina Zitto na kina Mnyika bungeni ataziwezea wapi? Huyu amepitishwa kutoa nafasi kwa Anna Makinda. Kate Kamba hana uzoefu na Bungeni hasa kwenye hiyo nafasi. Hivyo naye kawekwa tu.

Spika ameshateuliwa na Chama kinachoshika hatamu na ni Anna Makinda. Alikuwa naibu spika wakati wa Sitta. Sioni chochote kipya kitakachotokea. Sina uhakika sana na weledi wake katika mambo ya sheria! Pengine hiki ndo kilichomwangusha Six kwenye hiyo nafasi. Uanasheria wake ulikuwa unamfanya ashindwe kuyafumbia macho baadhi ya mambo.
 
CCM bila ya aibu wamefanya kile ambacho watanzania wengi walikuwa wanaomba walu wasikifanye. Kwa kupitia huu mgongo wa wanawake ili tu Sitta asipite najiuliza hivi hii hoja ya mwanamke ndo inaonekana sasa? Kweli wandanganyika tumeliwa/

1. Failure ya Kikwete-Mwanasheria Mrema
2. Second Failure-Kufanikiwa kumpiga majungu Sitta hadi kushindwa uchaguzi

Sasa kweli CCM itamegeka kisawasawa? Kweli hawa jamaa hawana akili huyo Makinda, na Anna wote hao ni wana mtandao nakumbuka makinda alikuwa akichemka tu bunge lililopita sisi yetu macho. Mbona Msekwa alikuwa anajipitia tu bila kupingwa? Mbona kiti cha urais hawakuruhusu mtu kugombea? Kwanini Sitta naye asingepitishwa tu

Mafisadi Oyeeee, mnaongoza moja bila mpaka sasa chini ya kapteni Lowasa na kocha JK
 
Natamani kulia kwa kweli. Bora ningezaliwa Rwanda tu. Baada ya miaka mitano ndugu zangu wote wa kijijini sipati picha watakua kwenye hali gani

Kaka wewe acha mi mwenyewe nawaza afadhali nirudi remera au nyamirambo nikafanye biashara au niende mkoani ruhengeli nikalime viazi vitamu.
 
huwezi kuwa tajiri katika nchi maskini!Hii ni falsafa ya zamani kidogo.Nasisitiza hakuna mtu msafi ndani ya mfumo uliooza kama wa CCM!TUNGEPATA SPEAKER MPINZANI TUNGEJUA MOJA KWA MAANA YA KWAMBA TUMNGEONGOZA MOJA YA MIHIMILI MUHIMU YA NCHI HII.KATI YA KUNDI LA WANA CCM SITTA WA VIWANGO NI BETTER LAKINI NOT THE BEST,HAYA NI MAONI YANGU NA I WONT MISS HIM MAANA YULE MDUDU WA KUITAFUNA CCM ANAENDELEA KUWALA NA MIMI NIKIWA MPINZANIA, SIJALI KITU!
 
Bila kufunga na kusali hawa jamaa wataendelea kufanya madudu. Mie nawaombea dua mbaya akina Kikwete, Makamba, Kinana, Lowassa, na Chenge. Hawa jamaa wanatutesa sana, wanaendesha nchi wanavyotaka wao, kiongozi wa bunge ni yule wanayemtaka wao. Ikiwezekana washikwe na ugonjwa wa ajabu kwa mara moja wote ili wajue ni pigo kutoka kwa mungu, au wafe kabisa siwapendi mimi. Au waanguke hovyo kama Jk anavyoanguka majukwaani.
 
mtazidi ona vikuku,na vibata na vijogoooooo...kwi kwi



jamani naomba kuuliza does it mean sitta ataendelea pewa poshoya ex-spika?uwiiii ccm madai yao now wanfuata usawa wa gender...if atashinda mmama ajiandae kuzaa bungeni bila kuwa na mimbaa mana moto wa chibuda et al ukianza ni patashika nguo chanika

jamani wahusika ebu andaeni ka sub group ka bunge humu muwe mnatuwekea clips za yaliyojiri basi


He he wanawake na maendeleo na Vicky Kamata aka Mbunge wa viti maalumu, uliwafurahisha wazee wamekutunuku hongeraaa mumy funga mdomo ukifika huko ukijifanya chifupa, basi usisile muyaaa
 
mafisadi ndio wanapanga nchi iendeshwe vipi wewe tulia tu hadi miaka yenu ifike mje kujiendesha wenyewe subirini hadi kizazi chao kiishe upo wao bado unafanana na ule wa kikoroni poleni sana

Duduwasha niambie kizazi cha hawa jamaa kitaisha lini wakati wameiunga kama ringi. January Makamba na Riziwani ndio hao wameshaandaliwa kabisa, na wao wanaandaa watoto wao vilevile. Kazi ipo.

Labda tuombe yatokee kwanza mapinduzi ya kijeshi, maana nina imani wapo wanajeshi wengi nao wanaumizwa na hali hii kutokana na baadhi yao kupewa vyeo bila hata kuwa na qualifications, huku wenye sifa wakiachwa.
 
sikujua kabisa kwamba hiyo CC ya CCM wajumbe wake ni matahira na kwa kukamilisha wabunge wao ((CCM) matahira pia watawapitisha hao wanawake wako kwenye menopouse wako emotional hasa huyo Anna Makinda hafai kabisa ,Anna Abdallah bado kuzikwa tuu,kwa nini CC iwaamulie wabunge cha kufanya ,kwa sababu katika ushindani wanaume waliomba nafasi hiyo wanahaki pia ya majina yao kupelekwa mbele ya wabunge wa CCM,nani atataka Bunge la lililofungwa midomo na kubaki na ndio mzee,haya mafisadi yameiba kura yanataka sasa bunge liwekwe mifukoni mwao.UDIKTETA UMESHAINGIA TANZANIA nimeaamini waliosema KIKWETE ni mtu mwenye visasi sana ,ooh mungu kwa nini umetuacha miaka mitano tutaingia kwenye tanuru la moto tumekwisha
 
Back
Top Bottom