Thats the end of the Game to P.Kagame...yani JWTZ inaita last Card...tena mavi ya mbuzi ya tripple7,wakati Kagame bado ana Joker na bwana na bibi....Kumbe kelele zote zile n sbb tumetekenya masabuli ya Kigali...Dah kweli Ziara ya Obama inajibu
Rwandas High Commissioner to the U.K William Ngurunziza just finished some obfuscating pyrotechnics on the BBC World Service's "Newsday".
Bashar ameua zaidi ya wasyria laki moja,unasema kwanini US wanawapa siraha wapinzani wa Bashar???wewe ulitakaje???aendelee kuua???juhudi nyingi zimefanyika kuleta suluhu lakini Bashar ni jeuri hataki.DRC nako unasema tusiunge mkono vikosi kupelekwa huko kwani tatizo la wakongo litamalizwa na wakongo UNAUHAKIKA NA UNACHOSEMA???HOW??nadhani sanasana unanitafutia ban.
Where is Koba?
mauaji anayoyafanya bashar ni zaidi ya genocide, kwanini wapenda amani wasisaidie ukombozi? kubali ukweli na vua utumwa aliokutwika na slim boy hapa jf. sasa ni mchakamchaka mpaka kigali.
Mkuu mbona watu wengi tumejaribu sana kumshauri Mh.Kagame lakini 4 some reason hashauriki!! Yaani stance yake haina tofauti na ya Saddam Hussein alipo vamia Kuwait! Kapewa onyo na Bush Sr kwamba aondoshe majeshi yake Kuwait - lakini Saddam kaleta kiburi na jeuri huku akiendeleza misamihati ya Kiaarabu kusifia Nabukhendereza, Mukharabati na Republican Guard. Bush Sr alikuwa mstaarabu sana kampa Hussein muda wa kutosha aondoshe majeshi yake Kuwait, lakini wapi bwana!! Hussein kaendela kuvuta masharubu yake na jeuri iliyo kubuhu.Kilicho fuata ni mvua ya all-weather submarine na ship-launched Tomahawk cruise missile yenye shabaha 1m C.E.P, ajakaa vizuri A-10 zikafyeka vifaru vyake vyote na APCs, vikosi vya Infantry vikanyukwa na Apache Chopper Gunships, sasa sijui mwenzetu huyu ndio anataka yamkute au? Hivi binadamu anaye tafakali mambo kwa kina anaweza ku-brush off onyo la Merikani na Iternational Community just like that!! Anajiamini nini? Yaani kadiri siku zinavyo kwenda naona mwenzetu habaridiriki au kusikia la mtu ananikumbusha msemo wa KIHAYA (Kushanangana ENYEITE) wenzetu Wajapan uwahita KAMIKAZE. Kwani Mh. Kagame akiwa flexible na kuhepusha majanga/maafa DRC na Rwanda kwenyewe nani atamcheka, Mh. Kagame ni mtu mwenye akili sana - sasa kwa nini anataka kujifungulia a pandora box ya kufunguliwa mashtaka ya kiharifu - hata kama mashtaka ni ya kutunga nchi kama Merikani/UN wana uwezo mkubwa wa kukusema lolote ili upatikane na hatia ufungwe 4life - Je hilo halijui?Kagame naye mburula sana,ameshindwa kujiuliza kwa nini Obama hajatua Kigali akaja Dar, anadhani ataungwa mkono tena kwenye issue yoyote ya maziwa makuu? Aondoe askari wake haraka na kusimamisha misaada kwa hao maharamia wa wananchi wasioluwa na hatia!