Kwa hiyo na Wamerekani waliowaambia muacha kuwasaidia watutsi wenzenu wa M23 nao ni interahamwe sio? Kwa sababu kila anayewaumbua mnampa jina la interahamwe. Akili ndogo. Hivi kwnn hamkubali ukweli? Mnataka tu msifiwe hata pale ambapo hamstahili sifa! Unasema eti wahutu watashangaa ikisemekana kagame kawaua wahutu..watashangaa lipi wkt it is a day light truth. Mnawabagua, ukipita barabara za rwanda askari wengi ni watutsi; asilimia kubwa ya watu wenye nyadhifa kubwa rwanda ni watutsi. Unazani hao wahutu na watutsi wapenda amani (kama basi wapo) wanafurahishwa na hiyo hali? Jengeni umoja nchini kwenu, pendaneni acheni kubaguana kwa urefu wa pua! Kuonyesha kuwa nyie ni wabaguzi hata Kanisani mnabaguana. Mtu akiangalia kwa mfano zile kanda za kwaya ya Wasabato walioimba wimbo maarufu wa kwetu pazuri inaonyesha wazi ubaguzi kwani ni watutsi watupu wamejaa kwenye hiyo kwaya!Ukweli gani huo zaidi ya lies lies na garbage mnazomwaga humu?Kagame angewaachia watu kama nyie Rwanda ingekuwa failed state and more millions wangekufa kwa vita,njaa na magonjwa,na hizo story za kusema Kagame anawaua wahutu hata wahutu wenyewe wakikusikia watakushangaa sana,say what you say lakini Rwanda under Kagame inaendelea sana kiuchumi and very peacefully,na ni number one in African continent katika least corruption index