yeah huenda wana sababu zaoLakini wapi tenani wakiume
hii fani ya Umarioo wape wakongo utafurahi wanaimudu hatari!!!Ni sweattalker wazuri sana
Ndipo wanapowawezeaga hapo na si ndio mnapenda mambo hayo?Ni sweattalker wazuri sana
Shida si ndio kama hizo za kuombwa helaT
tunasaidia kwenye shida
polenina siku hizi ni wengi ..
asantepoleni
Uko sahihi kabisa mkuuKwenye maisha ni lazima utambue kuwa sio wanaume wote ni waoaji na si wanawake wote wanafaa kuolewa..
Biashara ujue inalipa miss chagga.na siku hizi ni wengi ..