U-marioo wa kina kaka unawafedhehesha

kukojozwa ni option kwanguna siwezi mpa mwanaume pesa anikojoze aisee

Botom Line ni kila mtu atafute hela. Kukojozana iwe kama mkitaka tu. mambo ya kusema mmoja amtafutie mwenzie ni ujinga! Hakuna sababu ya mimi kukuweka full time wakati wewe ni liability ambayo naweza ipata in part time basis na inanipa raha hatari at low cost!
 
Man
Ha ha ha ha ha ha ha ha! ofcoz Marioo wanauza hiyo huduma sema hawasemi wazi wazi. Kama ambavyo Mwanamke anayesema MWANAUME ASIYEWEZA NIPA PESA simtaki anavyouza!
awashukiru sana waliogundua dildos
 
Botom Line ni kila mtu atafute hela. Kukojozana iwe kama mkitaka tu. mambo ya kusema mmoja amtafutie mwenzie ni ujinga! Hakuna sababu ya mimi kukuweka full time wakati wewe ni liability ambayo naweza ipata in part time basis na inanipa raha hatari at low cost!
duh
 
Hivi kuna tofauti kati ya dada poa na mario?
Ndio,..tofauti hipo tena kubwa Sana.
Dada poa yupo special kwa Business tu.
Marioo yeye sio special kwa business Bali anapati Kama vile wewe mwanamke unavyoplay pati ukiwa na mwanaume wa kawaida tu.
Over.!
 
Ndio,..tofauti hipo tena kubwa Sana.
Dada poa yupo special kwa Business tu.
Marioo yeye sio special kwa business Bali anapati Kama vile wewe mwanamke unavyoplay pati ukiwa na mwanaume wa kawaida tu.
Over.!
Yote ni gum ingawa mmoja huwekwa sukari ukaitwa chewing gum lakini utamu ukiisha ni gum tu.
 
Wewe na girlfriend wako wote ni wanafunzi alafu unambiguous mzinga wa laki mbili binti wa watu inategemea atazitoa wapi? Ukisikia kuna jibaba la TRA linaghramia eti unamwita malaya hii ni sawa kweli?

Wote mnafanya kazi, kisa binti hajakuomba pesa na anajipenda mambo ya designer handbags na make up na wewe unaomba mkopo wa mil5. Mara nyingi wanaume wa aina hii si waowaji na kama akitokea kukutamkia ndoa basi utamlea kwa shida na raha mpaka kifo kiwatenganishe.
Sasa mkuu em nisaidie... Kama anakung'ang'ania kwa kutaka kila kitu ashughulike nacho yy tu... Then kidume ni kazin, ukirud ni msosi, gymtym then bdae mgegedano n schedule ndo iyo daily... Hapo mtu/kijana anafedheheka vp?
 
Hao sijui mario mnawapenda wenyewe wala msituzuge kbs,unamkuta mdada yupo busy kumfatilia mshikaji,unakuta mdada anaomba appointment mwenyewe labda mshikaji akatoa kisingizio bhanae mm sipo vizur kwenye mambo ya financial,ww unamwahidi asiwe na shaka,Kwa style mnategemea nin nyie chanzo,sidhan kama kuna mwanaume serious anaweza akawa anamfatilia mwanamke ili mwisho wa siku ahudumiwe
 
Wewe na girlfriend wako wote ni wanafunzi alafu unambiguous mzinga wa laki mbili binti wa watu inategemea atazitoa wapi? Ukisikia kuna jibaba la TRA linaghramia eti unamwita malaya hii ni sawa kweli?

Wote mnafanya kazi, kisa binti hajakuomba pesa na anajipenda mambo ya designer handbags na make up na wewe unaomba mkopo wa mil5. Mara nyingi wanaume wa aina hii si waowaji na kama akitokea kukutamkia ndoa basi utamlea kwa shida na raha mpaka kifo kiwatenganishe.
Pole kwa mateso ya nafsi unayoyapata dada kwa malezi ya jitu zima. Nikuulize, ni bora kulelea hivyo na ukimtaka muda wowote unampata kama vocha au uolewe na Mchaga akuhudumie kila kitu ila akipata simu ya hela hatakama yupo kifuani anakuacha na hamu zako unagaragara kitandani?
 
mijimario mjininimezidi jamani, khhaaaa mijanaume shupa haitaki kufanya kazi
 
Bora
Pole kwa mateso ya nafsi unayoyapata dada kwa malezi ya jitu zima. Nikuulize, ni bora kulelea hivyo na ukimtaka muda wowote unampata kama vocha au uolewe na Mchaga akuhudumie kila kitu ila akipata simu ya hela hatakama yupo kifuani anakuacha na hamu zako unagaragara kitandani?
Mchaga jombaaa
 
Back
Top Bottom