Type ya Husband.................

It is too much shemeji, yaani of all, positive ni moja tu? Hata kama umetendwa sio wote bhana!


Sijatendwa na mtu yoyote na wala sina maana ya kuwa wanaume wote wako hivyo sorry
 
wengine hapo ni coctail Dena Amsi
wanakomaje?tunakumis sana bana
uwe unachungulia japo mara moja kwa siku!!
 
Last edited by a moderator:
Bora hiyo numba kumi usinge iweka maana kila mtu ataangukia humo humo!
 
Mmmh mi napita tu Dena Amsi Bado namsoma mume wangu ili nijue anafall wapi hapo
 
Last edited by a moderator:
Hahah Dena Amsi nimekumissije sasa?
Karibu tena ...................Haya mie nimeiona hiyo tu ya Asprin Hubby............... lol
Wapi Da Mkubwa King'asti na Kaunga? Wapi da Mkubwa Kongosho?
Usipombee kukutwa..mbona majanga!!
 
Last edited by a moderator:
Naona kama kuna aina moja ya ma-husband hujaiweka...wale wanaume waliowekwa viganjani na wake zao

hahahahahahahah dena amasi amesahau limbwata husband>
 
Last edited by a moderator:
Acidic husband ndo mpango mzima. Mi nataka niwe hivyo.
 
Mzee DC mzima lakini wewe???

Nilikumisije aisee??

Acha kulalamika kama namba.......

He he he sema basi wewe uko namba ngapi au unafall kwenye nyingi??? Kuanzia 1-9??
Umeanza lini uchokozi DA?

Hebu kwanza tueleze, ulikuwa wapi?


Babu DC!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…